Wachungaji Thika wawatolea wito Wakenya waiunge mkono serikali
NA LAWRENCE ONGARO WACHUNGAJI kutoka kaunti ndogo ya Thika, wametaka Wakenya kuiombea nchi hii ili serikali mpya iweze kufanikiwa katika kutekeleza ahadi ilizotoa. Wakiongozwa na Askofu wa Kanisa la Calvary Chosen Centre, Thika, David Gakuyo, walisema serikali mpya ya Rais William Ruto, inastahili kupewa muda wake ili iweze kutekeleza ahadi zake kwa wananchi. Alisema “huu […]