Timu za Afrika zaendelea kulemewa Qatar
Na JOHN ASHIHUNDU MATUMAINI ya timu za Afrika kupiga hatua kwenye fainali za Kombe la Dunia za Qatar 2022 yalizidi kudidimia baada ya kikosi cha Cameroon kuchapwa 1-0 na Uswisi katika mechi iliyochezewa Janoub Stadium leo, Alhamisi. Mbali na Cameroon, mataifa mengine ya Afrika yanatoshiriki kwenye fainali hizo ni Morocco, Senegal, Tunisia na Ghana, lakini […]