TAHARIRI: Ni hatari kupuuza shida za polisi
KITENGO cha UHARIRI TAIFA kwa mara nyingine jana iliamkia habari kuhusu mauaji katika jamii yaliyosababishwa na afisa wa polisi bila sababu mwafaka kujulikana. Katika kisa hicho, afisa wa polisi aliua watu sita akiwemo mke wake na raia wengine watano kabla kujitoa uhai.Visa hivi ambavyo vimekuwa vikitokea mara kwa mara, ambapo afisa wa polisi hutumia silaha […]