Pasta anayehusishwa na vifo vya watoto akana mashtaka
NA ALEX KALAMA MAHAKAMA Kuu ya Malindi imemuachilia kwa dhamana mchungaji tata Paul Mackenzie wa kanisa la Good News International ambaye anadaiwa kuwaua watoto na kuwazika katika hali tatanishi huko Shakahola eneobunge la Magarini. Akiwa mbele ya hakimu mkuu Olga Onalo wa mahakama hiyo, mchungaji Paul Mackenzie ameyakana mashtaka dhidi yake na kuachiliwa kwa dhamana […]