Taifa Leo   
NGUVU ZA HOJA: Tujifunze Kiswahili kutoka kwa wazee mikota wenye tajiriba pevu

Published: Nov 24, 2022 14:20:16 EAT   |  News

NA PROF IRIBE MWANGI JUMATATU nilikuwa na kikao na watu muhimu katika ulimwengu wa Kiswahili. Mmoja wao ni Balozi Wanjohi, Mkurugenzi wa Diplomasia ya Utamaduni katika Wizara ya Maswala ya Kigeni na Dayaspora. Balozi Wanjohi amekuwa mpenzi na shabiki mkubwa wa Kiswahili na kuna matumaini kwamba atasaidia katika usambazaji wa Kiswahili hasa kupitia balozi zetu. […]

View Original Post on Taifa Leo