MKU yawatafutia ajira ya ng’ambo wahitimu 15
NA LAWRENCE ONGARO KITENGO cha masomo ya utalii na usafiri katika Chuo Kikuu cha Mount Kenya (MKU) kimewatafutia ajira wahitimu waliokuwa chuoni humo. Kulingana na mhadhiri mkuu wa kitengo cha utalii na usafiri, Bi Jane Kanjuru anasema wanafunzi waliohitimu wana nafasi ya kupata ajira katika nchi za Ulaya. “Tayari tumewatafutia ajira wahitimu 15 waende Ulaya […]