Manusura wa shambulio la Al-Shabaab aapa kuhubiri amani hadi kifo

Taifa Leo
Published: Mar 01, 2024 03:50:57 EAT   |  News

NA KALUME KAZUNGU TUKIO la kigaidi la mwaka 2014 mjini Mpeketoni, Kaunti ya Lamu liliacha makovu mabaya kwenye maisha ya wengi eneo hilo. Shambulio hilo la Al-Shabaab lililotekelezwa Juni 15, 2014, lilisababisha wanaume zaidi ya 90 kuuawa huku nayo makumi ya magari na nyumba zikiteketezwa kwa usiku mmoja. Ni uvamizi ulioacha wengi wakiwa na hasira, […]