KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Uholanzi na Ecuador nguvu sawa katika Kundi A nyota Enner Valencia akifikisha mabao matatu kibindoni
Na MASHIRIKA ENNER Valancia alifunga bao lake la tatu kwenye fainali za Kombe la Dunia mwaka huu kabla ya kuondolewa uwanjani kwa machela katika pambano la Kundi A lililokamilika kwa sare ya 1-1 dhidi ya Uholanzi ugani Khalifa International. Fowadi matata wa PSV Eindhoven, Cody Gakpo, aliwaweka Uholanzi kifua mbele baada ya dakika tano na […]