Kocha wa AFC haendi popote- Shikanda
Na JOHN ASHIHUNDU MWENYEKITI wa AFC Leopards, Dan Shikanda amejitokeza kusisitiza kwamba kocha Patrick Aussems hana mpango wa kuagana na klabu hiyo kwa sasa. Alisema kuwa kocha huyo ndiye atakayeongoza kikosi leo alasiri kitakapopambana na Posta Rangers ugani Nyayo.Shikanda alitoa hakikisho hilo, kufuatia madai kwamba raia huyo wa Ubelgiji, alikuwa akikamilisha mpango wa kujiunga na […]