Wajumbe RT wafukuzwa ukumbini uchaguzi mkuu
Wajumbe wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) wametimuliwa ukumbini dakika chache kabla ya kuanza mkutano mkuu na uchaguzi mdogo mjini Dodoma.
Wajumbe wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) wametimuliwa ukumbini dakika chache kabla ya kuanza mkutano mkuu na uchaguzi mdogo mjini Dodoma.