Simba yashusha Mholanzi Dar
Klabu ya Simba imemteua Mels Daalder raia wa Uholanzi kuwa skauti wake mkuu kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na michuano mingine.
Klabu ya Simba imemteua Mels Daalder raia wa Uholanzi kuwa skauti wake mkuu kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na michuano mingine.