Simba yashusha Mholanzi Dar

Mwanaspoti
Published: May 25, 2023 12:32:38 EAT   |  Sports

Klabu ya Simba imemteua Mels Daalder raia wa Uholanzi kuwa skauti wake mkuu kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na michuano mingine.