
Pluijm ampa tuzo Mayele
Published: May 25, 2023 12:19:36 EAT | Sports
KOCHA Mkuu wa Singida Big Stars, Hans Van De Pluijm amesema licha ya Ligi Kuu Bara kubakisha michezo miwili kumaliza msimu ila nyota wake bora hadi sasa ni mshambuliaji na kinara wa mabao wa Yanga, Fiston Mayele.