NIONAVYO: World Cup linaanza kuwa Kombe la Dunia
WATU husema mambo yanav yobadilika ndivyo yanavyorudi yalipokuwa.Timu inaifunga Argentina na kutangaza siku ya mapumziko nchi nzima.Tukio la kwanza lilikuwa ni ushindi wa mabao 4-2 wa Uruguay dhidi ya Argentina kwenye fainali za kwanza za Kombe la Dunia na la pili ni ushindi wa Saudi Arabia wa mabao 2-1 dhidi ya Messi na Argentina katika Kombe la Dunia linaloendelea Qatar.