Ni shoo ya Kagere, Dilunga
MASTAA wa Simba, Hassan Dilunga na Meddie Kagere wanaonekana kuwa na kitu muhimu cha kuibeba timu katika mechi ya watani wa jadi itakayopigwa Desemba 11 ingawa Yanga wanaonekana kuwa bora zaidi.
MASTAA wa Simba, Hassan Dilunga na Meddie Kagere wanaonekana kuwa na kitu muhimu cha kuibeba timu katika mechi ya watani wa jadi itakayopigwa Desemba 11 ingawa Yanga wanaonekana kuwa bora zaidi.