Nabi afuata dawa ya Mazembe

Mwanaspoti
Published: Mar 24, 2023 09:33:03 EAT   |  Sports

KOCHA wa Yanga, Nasreddine Nabi ametimka nchini kwenda Ulaya, huku akitoa salamu ambazo hazitakuwa njema jijini Lubumbashi, DR Congo, akisema hesabu zake sasa ni kumaliza na ushindi katika mechi ya mwisho ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika.