Mastaa sita KMC pancha
KMC FC inakabiliwa na changamoto ya wachezaji sita tegemeo ambao ni majeruhi ndani ya kikosi hicho ambapo kwasasa wanaendelea na matibabu,kwa mujibu wa Ofisa Habari, Christina Mwagala.
KMC FC inakabiliwa na changamoto ya wachezaji sita tegemeo ambao ni majeruhi ndani ya kikosi hicho ambapo kwasasa wanaendelea na matibabu,kwa mujibu wa Ofisa Habari, Christina Mwagala.