Mwanaspoti   
Kocha Kitayosce apania usajili Ligi Kuu

Published: May 25, 2023 12:10:24 EAT   |  Sports

KOCHA mkuu wa Kitayosce, Henry Mkanwa amesema hatakurupuka kwenye usajili isipokuwa atakuwa makini kutafuta watu wa kazi watakaoiwezesha kukaa ligi kuu muda mrefu, huku akichekelea rekodi yake.

View Original Post on Mwanaspoti