Kocha Kitayosce apania usajili Ligi Kuu
KOCHA mkuu wa Kitayosce, Henry Mkanwa amesema hatakurupuka kwenye usajili isipokuwa atakuwa makini kutafuta watu wa kazi watakaoiwezesha kukaa ligi kuu muda mrefu, huku akichekelea rekodi yake.
KOCHA mkuu wa Kitayosce, Henry Mkanwa amesema hatakurupuka kwenye usajili isipokuwa atakuwa makini kutafuta watu wa kazi watakaoiwezesha kukaa ligi kuu muda mrefu, huku akichekelea rekodi yake.