
Kocha Kitayosce apania usajili Ligi Kuu
Published: May 25, 2023 12:10:24 EAT | Sports
KOCHA mkuu wa Kitayosce, Henry Mkanwa amesema hatakurupuka kwenye usajili isipokuwa atakuwa makini kutafuta watu wa kazi watakaoiwezesha kukaa ligi kuu muda mrefu, huku akichekelea rekodi yake.