Fei Toto: Yanga hii acheni, afunguka walichowazidi Simba
BAADA ya Simba kuangusha pointi nyingine mbili dhidi ya Mbeya City, staa wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ametamka kwamba huu ni mwaka wao tena na kuna kila dalili kuwa hakuna wa kuwazuia kirahisi.