Dodoma Jiji yajiweka pabaya

Mwanaspoti
Published: Nov 26, 2022 16:11:57 EAT   |  Sports

Dodoma Jiji imeendelea kujiweka pabaya baada kufungwa bao 1-0 dhidi ya Namung, mchezo wa Ligi Kuun uliochezwa uwanja wa Liti, Singida.