
Dewji aitakia kheri Yanga
Published: May 25, 2023 13:50:17 EAT | Sports
ALIYEKUWA mfadhili wa Simba, Azim Dewji ameitakia kheri klabu ya Yanga inafanya vizuri kwenye fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika na kisha kuchukua ubingwa ili kuweza kuitangaza nchi ya Tanzania.