Bocco aichungulia Polisi Tanzania

Mwanaspoti
Published: Nov 27, 2022 10:56:14 EAT   |  Sports

WAKATI mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Polisi Tanzania FC dhidi ya Simba SC ambao utapigwa leo Jumapili kwenye uwanja wa Ushirika Moshi ukisubiriwa kwa hamu kubwa mshambuliaji wa Simba John Bocco ndiye kinara wa ufungaji timu hizo zinapokutana.