Balaa! Mabeki moto waliotupia Ligi Kuu

Mwanaspoti
Published: Nov 27, 2022 09:41:20 EAT   |  Sports

MABAO 19 yamefungwa na mabeki mpaka sasa katika michezo ya Ligi Kuu Bara ambapo timu zilizopo mkiani zinahaha kujinasua mkiani na nyingine zikikomaa kusalia katika nafasi za juu.