Ajenda ya uchaguzi yawagonganisha wajumbe Riadha Taifa
Ajenda ya uchaguzi mdogo wa kuziba nafasi ya makamu wa rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) na mjumbe mwakilishi wa kanda ya Pwani imeibua mvutano wa wajumbe kwenye mkutano mkuu wa Shirikisho hilo.