Milard Ayo   
‘Nishati imefanya maonesho ya Karne’- Mwijage

Published: May 31, 2023 10:32:23 EAT   |  News

Ni Mei 31, 2023 Mbunge wa Muleba Kaskazini, Charles Kaijage amesema maonesho ya #WikiYaNishati yanayoendelea katika viwanja vya Bunge, ni ‘maonesho ya karne’. Mwijage amesifu namna ambavyo kupitia maonesho hayo ameweza kupata majibu yote kuhusu umeme katika jimbo lake. Wabunge wengine waliochangia katika #BajetiYaNishati, nao wamepongeza maonesho hayo hususan ubunifu na matumizi.

Ni Mei 31, 2023 Mbunge wa Muleba Kaskazini, Charles Kaijage amesema maonesho ya #WikiYaNishati yanayoendelea katika viwanja vya Bunge, ni ‘maonesho ya karne’.

Mwijage amesifu namna ambavyo kupitia maonesho hayo ameweza kupata majibu yote kuhusu umeme katika jimbo lake.

Wabunge wengine waliochangia katika #BajetiYaNishati, nao wamepongeza maonesho hayo hususan ubunifu na matumizi.

View Original Post on Milard Ayo