Mrembo Bey T alivyotamba na kiswahili kwenye mdundo wa Amapiano akiwa na Boohle

Milard Ayo
Published: Apr 09, 2022 15:30:21 EAT   |  Entertainment

Ni Mrembo kutokea nchini Kenya, Bey T ambapo time hii ametuletea video ya wimbo wake mpya ‘Utanicheza aliyoshirikiana na mrembo kutokea nchini Afrika Kusini, Boohle.

Ni Mrembo kutokea nchini Kenya, Bey T ambapo time hii ametuletea video ya wimbo wake mpya ‘Utanicheza aliyoshirikiana na mrembo kutokea nchini Afrika Kusini, Boohle.

Unaweza ukabonyeza play kuutazama hapa