Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp bado ana matumaini kuhusu nafasi yao katika kinyang’anyiro cha ubingwa na bado anaamini kama watashinda mechi zote sita zilizosalia watakuwa mabingwa wa Premier League tena....
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital WASHINDI 56 Promosheni ya Mtoko wa Kibingwa msimu wa 07 kuitazama Derby ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba itakayofanyika kesho kwenye uwanja wa Mkapa...
Ni April 19, 2024 ambapo Kocha wa timu ya Young Africans, Miguel Gamondi amefunguka mbele ya Waandishi kuelekea mchezo wa Derby ya Kariakoo Wababe Simba na Yanga unaotarajiwa kuchezwa siku...
KOCHA Msaidizi wa Simba, Suleiman Matola amesema hakuna mechi rahisi ya dabi wanawaheshimu wapinzani wao kutokana na kuwa bora lakini wao pia wamejiandaa kukabiliana nao.
Matola amesema mchezo wa kesho...
JUMAMOSI ya wiki hii, kuna Kariakoo Dabi inapigwa kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, Yanga ni wenyeji wa mchezo huo wa Ligi Kuu Bara wakiikaribisha Simba.
Hii ni Kariakoo...
SIMBA inatarajia kutua jijini Dar es Salaam leo alasiri, ikitokea Zanzibar ambako iliweka kambi ya siku tatu, kujiandaa na Kariakoo Dabi dhidi ya mtani wake Yanga, itakayopigwa kesho kuanzia saa...
Everton hawana budi bali kumuuza Amadou Onana katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi kutokana na sababu za kifedha, kwa mujibu wa Sport. Chombo cha habari cha Uhispania kiliripoti...
Kiungo wa kati wa Brazil Casemiro amefichua kuwa Carlo Ancelotti alilia mbele yake baada ya kujua uamuzi wa mchezaji huyo kuondoka Real Madrid na kujiunga na Manchester United mwaka 2022....
Beki wa Barcelona Ronald Araújo anasema kuwa atajadili mustakabali wake katika klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu. Araújo, 25, ana mkataba na Barca hadi Juni 2026 na amekuwa kwenye mazungumzo...