The Tanzanian government’s initiative, which includes the development of a critical mineral policy and a focus on rare earth minerals such as graphite, lithium, nickel, and neodymium, is a testament to the country’s forward-thinking approach.
A survey shows that small businesses in the region are worried that a full take-off of AfCFTA could edge them out of business, unless they change tack.
The Tanzanian government, through the Ministry of Regional Administration and Local Government (TAMISEMI), has introduced eight new religious study combinations for A-level secondary school students.
DAR ES SALAAM: MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amewataka wafanyabiashara wadogo ‘Machinga’ waliopo Kariakoo kuzingatia maelekezo yanayotolewa na serikali ili kuhakikisha uendeshaji wa soko hilo unakuwa na ufanisi...
NA WYCLIFFE NYABERI SIMANZI ilitanda katika kijiji cha Radienya, eneobunge la Nyatike, Kaunti ya Migori mnamo Alhamisi wakati wa mazishi ya Bella Ouma na bintiye Lisa, ambao walikuwa miongoni mwa...
ILALA, Dar es Salaam: KANISA la The Word of Reconciliation Ministries (WRM), linaadhimisha miaka 17 ya huduma tangu kuanzishwa kwake, huku likijivunia ushiriki wake katika kusaidia maendeleo ya kijamii. Kilele...
RUVU, Pwani: KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo amethibitisha watu wawili wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa ikiwemo askari wawili wa jeshi la zima moto na uokoaji katika...
Na Esther Mnyika Mtanzania Digital Serikali ya Tanzania na Hungary zimesaini mkataba wa ushirikiano katika sekta ya maji utakaosaidia udhibiti wa mafuriko na maji taka ambao umekuwa changamoto. Ikumbukwe kuwa...
MWANZA: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ameagiza kuvunjwa kwa bodi ya kampuni tanzu ya TANESCO ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji...
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) umedhamiria kwa vitendo kutekeleza dhamira ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha inamtua kuni mwanamke kichwani kwa kuhakikisha inazalisha...
KASSIM ADINASI VIJANA wenye hasira mnamo Jumatano walivamia jengo la afisi za UDA katika eneobunge la Bondo, Kaunti ya Siaya na kulipaka matope na uchafu. Bondo ni nyumbani na ngome...
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Dkt. Tausi Kida, amesema kuwa juhudi kubwa zinazofanywa na serikali ya awamu ya sita ya kuhamasisha uwekezaji imefanikisha ongezeko la usajili...
DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itafanyia kazi mambo yaliyoibuliwa katika Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na taarifa ya utendaji kazi wa Taasisi...