Milard Ayo News

Magenge yaua zaidi ya watu 1,500 nchini Haiti mwaka wa 2024: UN

Hali nchini Haiti ni ya “msiba”, huku zaidi ya watu 1,500 wakiuawa na ghasia za magenge kufikia sasa mwaka huu na silaha zaidi kumiminika nchini humo, Umoja wa Mataifa ulisema...

54 minutes ago


Milard Ayo News

Jeshi la Nigeria litawaachilia zaidi ya watu 300 wanaoshukiwa kuwa Boko Haram

Jeshi la Nigeria litawaachilia zaidi ya watu 300 wanaoshukiwa kuwa sehemu ya kundi la wanamgambo wa Boko Haram baada ya mahakama kusema hakuna ushahidi wa uhalifu wowote, msemaji wa ulinzi...

1 hour ago


Habari Leo News

DAWASA yaanza kutekeleza agiza la Rais Samia

DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), imeanza utekelezaji wa agizo la Waziri wa Maji Jumaa Aweso kuwarudishia huduma ya maji wateja waliositishiwa...

1 hour ago


Milard Ayo News

Rais wa zamani Jacob Zuma amezuiwa kugombea katika uchaguzi wa Mei

Rais wa zamani Jacob Zuma amezuiwa kugombea katika uchaguzi mkuu nchini Afrika Kusini utakaofanyika mwezi Mei. Tume ya uchaguzi nchini humo (IEC), haijatoa sababu. Hata hivyo, hukumu yake ya 2021...

1 hour ago


Milard Ayo News

UWT yawatoa hofu wawekezaji “CCM imetoa maelekezo jumuiya zijitegemee”

Jumuiya ya Umoja wa wanawake nchini kupitia Chama Cha Mapinduzi (UWT) imewatoa hofu wawekezaji wote na wale wenye malengo ya kufanya uwekezaji nchini kwani Uwekezaji ni Utekelezaji wa dhamira ya...

1 hour ago


Taifa Leo News

Mkutano wa Gachagua, wafanyabiashara wadogowadogo wazaa matunda

NA CHARLES WASONGA WAFANYABIASHARA wadogowadogo wa Nairobi wanaoagiza bidhaa kutoka ng’ambo sasa wamepata afueni baada ya serikali kuamuru bidhaa zao zinazozuiliwa katika Bandari ya Mombasa ziachiliwe ndani ya wiki mbili....

4 hours ago


Taifa Leo News

Magari ya umeme kuwa na nambari maalum

NA HILARY KIMUYU SERIKALI imetangaza kwamba magari yanayotumia Umeme (EVs) sasa yatakuwa na nambari spesheli za usajili zenye rangi ya kijani. Tangazo hilo lilitolewa na Waziri wa Uchukuzi Kipchumba Murkomen,...

5 hours ago


Taifa Leo News

Nyota ya Waiguru yaendelea kung’aa tangu ajinasue kwa sakata ya NYS

NA WANDERI KAMAU KWA wengi, ingali fumbo kwamba Gavana Anne Waiguru (Kirinyga) ndiye mwenyekiti wa Baraza la Magavana (CoG). Naam, mwanamke wa kwanza kuwa mwenyekiti wa baraza hilo lenye ushawishi...

6 hours ago


Taifa Leo News

Polisi adaiwa kumjeruhi dereva ndani ya seli kwa bifu ya hongo

NA OSCAR KAKAI POLISI mmoja anatuhumiwa kumpiga na kumjeruhi vibaya dereva wa matatu inayohudumu kwenye barabara ya Kitale-Kapenguria akiwa ndani ya seli katika kituo cha polisi cha Kapenguria, Kaunti ya...

7 hours ago


Mtanzania News

Ibaada ya kumuenzi Hayati Sokoine kufanyika Aprili 12

Na Ramadhan Hassan,Dodoma IBAADA maalum ya kumbukizi ya miaka 40 ya Hayati Edward Sokoine inatarajiwa kufanyika Ijumaa Aprili 12,mwaka huu ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia...

13 hours ago


Load More...

Trending on YouTube

Thumbnail
Nandy ft G nako, Joh Makini, Rosa Ree, Khaligraph Jones, Moni & Stamina - DAH Remix (Official Video)
Thumbnail
Jux - Bado (Official Audio) [Visualizer]
Thumbnail
Harmonize - Side N***a (Official Music Video)
Thumbnail
Billnass feat Mbosso - Number One (Official Music Video)
Thumbnail
Ibraah Feat. Harmonize - Dharau (Official Lyrics Video)
Thumbnail
Jay Melody - Baridi (Official Video)
Thumbnail
TUNDA MAN -TUNAITAKA NUSU (Official video lyrics)
Thumbnail
Zuchu ft Dadiposlim - Zawadi (Official Music Video)
Thumbnail
CHAWA WA BASATA & ZUCHU - USWEGE MURDERER
Thumbnail
Stamina Shorwebwenzi - Msanii Bora Wa Hip Hop (Official Video)

Job Vacancies





Entertainment