AYUMBA AYODI na GEOFFREY ANENE Maelfu ya wanariadha wa Kenya wanatarajiwa kunufaika mpango wa nyumba za bei nafuu kati ya Shirikisho la Riadha Kenya na Benki ya kutoa mikopo ya ujenzi na ununuzi wa nyumba nchini (HFC Group). Pande hizo zilisaini mapatano jijini Nairobi hapo Mei 30. Ushirikiano huo utawezesha wanariadha kuweka akiba ili kuwawezesha
3 days ago
AMA kwa hakika raia namba moja wa nchi yetu, Rais Samia Suluhu Hassan, au MAMA kama tunavyopenda kumuita, ameongeza chachu na hamasa kubwa kwenye mafanikio ya klabu zetu kimataifa. Kampeni yake ya bao la mama imepokewa vizuri kuanzia mitaani hadi kwa wachezaji wenyewe. Hili siyo jambo dogo hata kidogo. Kuwafanya watu wote wazungumzie kitu kimoja, ni jambo kubwa kwenye uimara wa kijamii (social stability) na ndicho kitu kinachojenga umoja wa kitaifa. Haya mamilioni ambayo mama amekuwa akiyamwaga kwa vilabu vyetu,...
3 days ago
Na RICHARD MUNGUTI WAUMINI zaidi ya milioni tano wa Kanisa la Pasta Ezekiel Odero wamepata afueni baada ya kampuni ya Safaricom kufungua laini saba za MPesa za kanisa hilo zilizokuwa zimezimwa. Agizo la kufunguliwa kwa laini hizo kulitokana na kampuni hiyo kuwapa polisi nakala za miaka sita za laini hizo. Punde tu mahakama ilipoamuru laini
3 days ago
SIMBA ipo sokoni kuangalia silaha za kuondoa aibu kwa msimu ujao na unyonge wa mashabiki wanaoupitia kwa msimu huu, ikidondosha mataji yote, tayari imetua nchini Ivory Coast ikiwinda winga la ASEC Mimoses, huku mastaa wakilimwa barua.
3 days ago
SIMBA ipo sokoni kuangalia silaha za kuondoa aibu kwa msimu ujao na unyonge wa mashabiki wanaoupitia kwa msimu huu, ikidondosha mataji yote, tayari imetua nchini Ivory Coast ikiwinda winga la ASEC Mimoses, huku mastaa wakilimwa barua.
3 days ago
SIMBA ipo sokoni kuangalia silaha za kuondoa aibu kwa msimu ujao na unyonge wa mashabiki wanaoupitia kwa msimu huu, ikidondosha mataji yote, tayari imetua nchini Ivory Coast ikiwinda winga la ASEC Mimoses, huku mastaa wakilimwa barua.
3 days ago
NA BENSON MATHEKA RAIS William Ruto huenda akaweka historia kama kiongozi wa Kenya aliyefanya ziara nyingi zaidi ugenini iwapo mtindo wake wa sasa wa kusafiri utaendelea. Kwa miezi minane ambayo amekuwa afisini, Dkt Ruto amefanya ziara zaidi ya 20 nje ya nchi alizoanza siku sita baada ya kuingia ikulu. Katika mapendekezo ya bajeti ya mwaka
3 days ago
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 31, 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.
3 days ago
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam May 31, 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania,
3 days ago
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameongoza harambee ya kuchangia Ujenzi wa nyumba ya Makazi ya Mwenyekiti wa shina (Balozi) namba saba katika Kijiji cha Ilambilole Kata ya Kising’a iliyopo Jimbo la Isimani katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Chongolo ameongoza harambee hiyo wakati wa ziara katika ubalozi huo ambapo viongozi mbalimbali
3 days ago
BAADA ya Singida Big Stars kujihakikisha nafasi ya kucheza michuano ya kimataifa kwa msimu ujao, tayari mabosi wa timu hiyo wako kwenye mazungumzo na kiungo wa KMKM, Khalid Habibu 'Fei Toto'. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zililiambia Mwanaspoti mchezaji huyo amependekezwa na benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Hans Van Der Pluijm ili akakichezee kikosi hicho kwa msimu ujao. "Mazungumzo baina ya mchezaji na viongozi wake yako kwenye hatua nzuri na kilichobaki ni mambo madogo tu, tuna amini...
3 days ago
KATIKA toleo la jana, tuliona maisha ya mwanariadha Geay jinsi yalivyo, tuliona jinsi ambavyo aliweza kutoka kijijini kwao na kujichimbia kwenye Uwanja wa Ilboru ambao anautaja kama uwanja bora zaidi kwa wanariadha. Lakini tuliona pia maandalizi yake kuanzia Jumatatu hadi Jumamosi na alitufundisha kuwa yeye kule siyo jambo la ratiba kama wengi wanavyofanya kula asubuhi mchana na usiku, bali mara nyingi amekuwa akila kutokana na jinsi anavyosikia njaa. Amesema kwake ni kawaida kula hata mara tano kwa siku moja, kutegemea...
3 days ago
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wananchi kusoma taarifa zilizopo kwenye vifungashio vya bidhaa hususani za vyakula ili kuepuka madhara mbalimbali ya kiafya yanayoweza kujitokeza. Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 29,2023 Jijijini Dar es Salaam, Kaimu Meneja wa Ukaguzi na Utekelezaji wa Sheria TBS, Bw. Moses Mbambe amesema kuna umuhimu mkubwa wananchi wakawa
3 days ago
NA CHARLES WASONGA WAKENYA wataweza kuweka na kutoa zaidi ya Sh1 milioni kutoka mashirika ya kifedha ikiwa wabunge wataidhinisha uteuzi wa Kamau Thugge kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Kenya (CBK). Jumanne, Dkt Thugge amewaambia wabunge wanachama wa Kamati ya Bunge kuhusu Fedha na Mipango kwamba atapendekeza sheria kuhusu suala hilo ifanyiwe mabadiliko. “Nafahamu kwamba
3 days ago
TIMU ya wachungaji ya Mombasa West Pastors FC walishindwa kueneza neno kwa wazee wa Chaani Youth Parents walipochezea kichapo cha mabao 3-2 kwenye mechi ya kirafiki iliyochezwa uwanja wa kisasa wa Bomu Changamwe, Kaunti ya Mombasa. Mombasa West Pastors FC walipata mabao yake kupitia kwa Mchangaji Byram na Mchungaji Edward dakika za mwanzoni mwa mchezo. Nao Chaani Youth Parents FC walipata mabao yao kupitia kwa mkufunzi wao Jones Kyalo aka coach Viera, Abubakar Kassim kwa njia ya penati na Peter...
3 days ago
IHEFU wajanja sana asikwambie mtu, kwani imesikiliza kwa umakini baadhi ya timu ligi kuu zinazowinda mastaa wake na kushtuka mapema kuwakumbatia ili kuendelea kubaki kikosini msimu ujao. Timu hiyo ambayo imekuwa na soka safi na la ushindani kwenye ligi, wapo mastaa ambao wameonekana kuwatoa umate baadhi ya timu kutaka saini zao. Hadi sasa wachezaji watano kuwindwa na baadhi ya timu ikiwa ni Yahya Mbegu na Nicolas Wadada (Singida Big Stars) Raphael Daud ‘Loth’ (Geita Gold) na Andrew Simchimba na Mwaita...
3 days ago
MBEYA City huu ni msimu wa pili mfululizo mchezo wake dhidi ya Yanga hutumika kukabidhiwa ubingwa bingwa wa Ligi Kuu katika Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Msimu uliopita katika mchezo ulioisha kwa sare ya bao 1-1 kwa mabao ya Joseph Ssemujju dakika ya 50 kwa mkwaju wa penalti amabalo lilikuwa la kusawazisha baada ya Heritier Makambo kuitanguliza Yanga dakika ya 40. Yanga ilikabidhiwa ubingwa kwenye mchezo huo ikiwa imesalia na mchezo mmoja mkononi kumaliza msimu ambapo ilicheza na Mtibwa Sugar Uwanja...
3 days ago
NA BENSON MATHEKA KATIBU Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi nchini Kenya (COTU- K), Bw Francis Atwoli ametengwa na wafanyakazi kwa kuunga mkono Mswada wa Fedha wa 2023. Upinzani dhidi ya mswada huo umekuwa ukiongezeka huku vyama vya wafanyakazi vilivyo chini ya Cotu vikijitenga na Bw Atwoli ambaye kwa mujibu wa wadhifa wake, anafaa
3 days ago
WAKATI Ligi Kuu Bara ikitarajia kuendelea Juni 6, kocha mkuu wa Tanzania Prisons, Abdalah Mohamed ‘Baresi’ amekataa mapumziko na kutumia kipindi hiki kuwasoma nyota wake ili muda wa usajili ajue pakuanzia. Prisons haijavunja kambi ikiendelea kujifua kwa ajili ya mechi zake mbili zilizobaki dhidi ya KMC, Juni 6 na Yanga Juni 9 kumaliza msimu huu huku ikiwa na uhakika wa kubaki ligi kuu. Baresi alikabidhiwa kikosi hicho katikati ya msimu akichukua mikoba ya Patrick Odhiambo aliyefungashiwa virago kutokana na matokeo...
3 days ago
South Africa will grant diplomatic immunity to all international officials, including wanted Russian President Putin, attending the BRICS summit.
3 days ago
Wachimbaji madini Tanzania wameazimia kuanzisha benki yao itakayowawezesha kuwapa mtaji wa kuchimba madini yao ambapo leo wameweza kuchangishisha zaidi ya billion mbili za kitanzania baada ya wachimbaji hao 102 kukutana kwenye jiji la Arusha. Rais wa shirikisho la vyama vya wachimbaji madini Tanzania (Femata) John Bina ameyasema hayo jijini Arusha leo jumanne Mei 30 kwenye
3 days ago
Na Raymond Minja, Iringa MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Salim Abril Asas ameonesha kuchukizwa na kutoridhishwa na Baadhi ya vikundi vya wanasiasa ambao wamekuwa hawafurahishwi na na namna anavyojitoa kusaidia jamii. Amesema amekuwa akifanya hivyo kwa moyo wa kujitolea na siyo ajenda za kisiasa kwani hana mpango wa kugombea Ubunge kama baadhi wanavyosema.
3 days ago
NA LEON LIDIGU BAA la njaa linalohangaisha mamilioni ya Wakenya litaendelea hadi mwaka 2024, ripoti ya Umoja wa Mataifa (UN) imeonya. Ripoti hiyo inaonyesha kuwa Kenya ni miongoni mwa nchi zilizo na idadi kubwa ya watu wanaoandamwa na makali ya njaa duniani. Nchi nyingine zinazokabiliwa na baa la njaa ni Pakistan, Jamhuri ya Afrika ya
3 days ago
Sergey Lavrov told Russian media he discussed agriculture, telecommunications, trade and the upcoming Russia-Africa Summit.
3 days ago
GOLIKIPA wa Yanga, Djigui Diarra amesema wameshindwa vita ya fainali ya mchezo wa kwanza uliopigwa katika Uwanja wa Mkapa lakini watapambana kwa nguvu zote kurudi upya kwa ushindi. Wikiendi iliyopita Yanga ilikubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa USM Alger ikiwa nyumbani na kichapo hiko kuwafanya wananchi kuwa na mzigo mkubwa wa kushinda ugenini. Diarra ameandika maneno hayo katika mtandao wa kijamii wa Instagram na kuongeza kuwa kushindwa kwao vita bado haijaisha mpaka pale ambapo wanamaliza dakika 90 nyingine katika...
3 days ago
Na Raymond Minja, Iringa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa nyumba ya makazi ya Mwenyekiti wa shina (Balozi) namba saba, Rose Nzelemera katika Kijiji cha Ilambilole Kata ya Kising’a iliyopo Jimbo la Isimani Halmashauri ya Wilaya ya Iringa. Chongolo ameongoza harambee hiyo jana wakati wa ziara
3 days ago
Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Erling Haaland wa Manchester City aliweka rekodi ya kuwa sogora wa kwanza kuwahi kutawazwa Mchezaji Bora wa Mwaka na Chipukizi Bora wa Mwaka katika msimu mmoja wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL). Mabao 36 yaliyopachikwa wavuni na nyota huyo raia wa Norway msimu huu ambao ulikamilika Jumapili yamemshuhudia akivunja rekodi ya magoli
3 days ago
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digita Wakati Tanzania ikipambana kuhakikisha inatokomeza Malaria wataalamu wameeleza kuwa moja ya changamoto inayokwamisha juhudi hizo ni pamoja na matokeo ya tafiti mbalimbali zinazofanyika kushindwa kuwafikia walengwa. Hayo yamebainishwa leo Mei 30, jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Idara ya Afya ya Uzazi Mama na Mtoto kutoka Wizara ya Afya,
3 days ago
NA SAMMY WAWERU SIKU kadha zimepita tangu mwanamuziki Esther Akoth ‘Akothee’ asafiri Uswizi (Switzerland), aliko bwanake Dennis Schweizer, Akitangaza Mei 19, 2023 kupitia mitandao ya kijamii, Akothee alisema ameenda kufuatia agizo la mumewe maarufu kama ‘Omosh’. “Kwaherini, @BwOmosh ameagizia mkewe. Ninapenda kuwa kwenye ndoa,” alichapisha katika ukurasa wake rasmi wa Facebook. Kilichozua ucheshi zaidi mitandaoni, ni
3 days ago
NA MWORIA MUCHINA KIPEPEO anayejulikana kama glasswing butterfly au kwa jina la kisayansi Greta oto, huwa na mabawa yenye mwonekano wa glasi (transparent) kumwezesha kufanana na mazingira karibu naye. Hii humwezesha kujificha kutoka kwa maadui wanaoweza kumshambulia na hata kumla. Ni nadra sana kuwatambua vipepeo hao wanapotulia kwenye majani na matawi ya mti.
3 days ago
NA TOTO AREGE WAREMBO wa Gaspo Women ya Ligi Kuu ya Wanawake nchini Kenya (KWPL), watacheza mechi mbili za kirafiki nchini Tanzania na Uganda mtawalia. Hili limefichuliwa saa chache tu baada ya aliyekuwa mchezaji wa zamani wa Harambee Stars Sammy Owino kuahidi kuwapa zawadi ya Sh500,000 kwa kumaliza wa pili nyuma ya mabingwa Vihiga Queens
3 days ago
KNA NA GEORGE ODIWUOR WAHUDUMU wa bodaboda kutoka Kaunti ya Mombasa, wamelalamika wakidai kuwa, baadhi ya abiria wao wa kike huwadhulumu kingono. Wakizungumza katika mkutano wa idara ya kitaifa inayoshughulikia masuala ya jinsia, walitaka juhudi za serikali kupambana na dhuluma za kingono katika jamii ziangazie pia yale ambayo wao hupitia. Mkutano huo ulilenga kuhamasisha waendeshaji
3 days ago
NA JUSTUS OCHIENG KUNDI la Wabunge wa mrengo wa Azimio La Umoja-One Kenya limekutana kujadili masuala ya uongozi wa wachache Bungeni, Mswada wa Bajeti 2023 na hali ya majadiliano baina yao na mrengo wa Kenya Kwanza. Kwenye mkutano huo, viongozi wa Azimio wamekubaliana kwamba wanampendekeza Mbunge wa Embakasi Magharibi Mark Mwenje awe naibu kiranja wa wachache
3 days ago
Na ALEX KALAMA KIWANGO cha vifo vya wanawake wanaofariki wakati wa kujifungua maeneo ya mashinani Kilifi kimetajwa kupungua, kutokana na hamasa zinazotolewa kuhusu umuhimu wa kujifungulia hospitalini. Kulingana na Katibu wa muungano wa maafisa wa kujitolea wa afya ya nyanjani eneo la Magarini, Bw Micheal Katana tangu kuanzishwa kwa kampeni hiyo wanawake wengi wajawazito wamekuwa
3 days ago
NA KALUME KAZUNGU IDARA ya polisi tarafa ya Mpeketoni, Kaunti ya Lamu imelalamika kwamba inapokea ripoti nyingi za mizozo ya wanandoa inayoaminika kuchangiwa na uvutaji bangi, utafunaji wa muguka na matumizi ya dawa za kulevya. Afisa Msimamizi wa Kituo cha Polisi cha Mpeketoni, Richard Ngunjiri anasema uvutaji bangi unaoshuhudiwa kwa wingi, hasa Mpeketoni, Baharini na
3 days ago
Na ALEX KALAMA MWANAMUME ameuawa katika kijiji cha Patanani Shimba Hills, Kaunti ya Kwale kwa madai ya kuiba mihogo shambani. Mwero Muzi, 45, alishambuliwa Jumatatu, Mei 29, 2023 baada ya kuonekana aking’oa mihogo kwenye shamba la jirani yake. Kulingana na ripoti ya polisi, wananchi walimkamata na kumuua papo hapo. Kassim Koi, mkuu wa polisi
3 days ago
NA BRIAN OCHARO MAAFISA wa polisi wamedai kuwa, washukiwa wawili waliohusishwa na wizi wa Sh700, 000 za mwajiri wao walizipeleka kwa mganga ili ziongezeke. Kwenye hati zilizowasilishwa katika Mahakama ya Mombasa, polisi wamedai washukiwa Zanjabil Musumba Mbururu na Desmol Dust Wamalwa, waliagizwa na mganga kuziweka kwenye chungu bila kukifungua kwa miezi mitatu ili ziongezeke. Inadaiwa
3 days ago
Saudi Arabia na Marekani ambazo ni wapatanishi katika mzozo wa Sudan kati ya jeshi na kikosi cha msaada wa dharura RSF zimekaribisha makubaliano hayo mapya ya kuongeza muda wa usitishaji mapigano wakati Wasudan milioni 25 kati ya 45 wanahitaji misaada ya kibinadamu ili kuendelea kuishi. Wizara ya mambo ya nje ya Marekani imeendelea kueleza kwamba,
3 days ago
NA SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais Rigathi Gachagua amesimulia alivyozuru kanisa moja Kericho na kukuta nusu ya waumini wakiwa walevi chakari. Bw Gachagua amesema alikuwa ameungana na washirika wa kanisa hilo Bonde la Ufa ambalo hakifichua majina yake, akiwa na kiongozi wa nchi Rais William Ruto. Naibu Rais alisema ilikuwa jambo la aibu kuona nusu
3 days ago
NA ALEX KALAMA IDADI ya wanawake wanaofariki wakati wa kujifungua katika eneo la Magarini imepungua kutokana na hamasisho linalotolewa kwa wajawazito wakihimizwa kujifungua hospitalini. Kulingana na katibu wa muungano wa maafisa wa kujitolea wa afya ya nyanjani eneo la Magarini Micheal Katana, tangu kuanzishwa kwa hamasisho hilo, wanawake wengi wajawazito wamekuwa wakitembelea kliniki. “Siku za
3 days ago
TUNAFIKIA ukingoni mwa msimu ambao ni mwanzo wa kipindi cha usajili na maandalizi ya timu kwa ajili ya msimu ujao. Hiki si kipindi kinachokuja ghafla, la hasha! Ni kipindi ambacho hujulikana hata kabla ya msimu uliopita kuanza, hivyo ni kipindi ambacho maandalizi ya kukifanikisha yanaweza kufanyika hata miezi 12 kabla. Kwa klabu kubwa duniani, tayari mipango yote ilishakamilika kwa ajili ya kipindi hiki, na kile cha maandalizi ya msimu (pre-season). Na maandalizi hayo huhusu kila idara. Kwa wale wachezaji ambao...
3 days ago
NA TITUS OMINDE SIKU moja baada ya Rais wa Uganda Yoweri Museven kutia saini sheria kuharamisha ushoga na usagaji nchini, Baraza Kuu la Wasomi wa dini ya Kiislamu nchini maarufu FATWA limeunga mkono hatua hiyo. Naibu mwenyekiti wa baraza hilo Sheikh Abubakar Bini alipongeza Rais Museveni huku akitaka viongozi wengine barani Afrika kuiga mfano wa
3 days ago
Umoja wa Falme za Kiarabu unapanga kutuma chombo cha anga ili kuchunguza ukanda mkuu wa asteroid wa mfumo wa jua ili kugundua dalili kuhusu asili ya maisha duniani. Nchi hiyo ilizindua mipango ya Misheni ya Emirates kwa Ukanda wa Asteroid siku ya Jumatatu, ikitarajia kurusha chombo hicho, mara kitakapojengwa, mnamo 2028 ili kuchunguza asteroid saba.
3 days ago
Na LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI wa kike wa Shule ya Upili ya Mseto ya Mwana Wikio katika Kaunti ya Murang’a wamepokea sodo za kuwafaa wakati wa hedhi. Kampuni ya Delmonte ilishirikiana na Chania Cleaners, Cortex, Salam Ltd, na Mobias Motors kuhakikisha wanafunzi wanapata bidhaa hiyo muhimu kwa usafi. Mwalimu mkuu wa shule hiyo Bi Hilda Mwangi,
3 days ago
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameidhinisha sheria ya kukomesha wizi wa viungo na tishu za binadamu, waziri wake wa afya alisema Jumanne, katika taifa ambalo wanawake wameripotiwa kulaghaiwa kufanyiwa upasuaji usio wa lazima. Vyombo vya habari vya nchini katika miaka ya hivi karibuni vimeripoti kesi za wanawake walioajiriwa kufanya kazi za nyumbani katika Mashariki ya
3 days ago
NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wachache katika Bunge la Kitaifa Opiyo Wandayi ametangaza kuwa ni kwenye mkutano wa kundi la Wabunge wa Azimio (PG) unaofanyika leo Jumanne, Mei 30, 2023 ambapo watataja atakayeteuliwa awe Naibu Kiranja wa Azimio katika Bunge la Kitaifa kuchukua mahala pa mbunge mbunge maalum Sabina Chege. Kwenye kikao na wanahabari katika
3 days ago
Na RICHARD MUNGUTI PASTA kutoka Nigeria ameshtakiwa kwa kula njama za kuitapeli benki mamilioni ya pesa. Pasta Wealth Ochelle almaarufu Apostle Wealth wa Kanisa la Cogic International Church of God lililoko eneo la Shanzu, Kaunti ya Mombasa, anakabiliwa na mashtaka kutapeli benki Sh28.7 milioni. Alipofikishwa mbele ya Hakimu Mkuu Mahakama ya Milimani Nairobi Lucas Onyina, alisomewa
3 days ago
Biden said he had asked his National Security Council to assess what the law means for "all aspects of US engagement with Uganda.
3 days ago
Na RICHARD MUNGUTI PASTA wa Kanisa la Kipendekoste ameshtakiwa kwa kupeli Wakenya watatu wanaoishi Amerika Sh6.8 milioni akidai atawanunulia mashamba jijini Nairobi. Pasta Catherine Wairimu Ng’ang’a wa Arise and Healing and Deliverance Church lililoko eneo la Githurai ameshtakiwa katika Mahakama ya Milimani. Aliposomewa mashtaka manne mbele ya Hakimu Mwandamizi Bi Zainab Abdul Pasta Wairimu alikana kuwalaghai
3 days ago
Bernice Kariuki, Mkenya mwenye maono makubwa ambaye anahudumu alihudumu kama mpishi wa binafsi wa timu ya kwanza ya klabu ya London, Arsenal. Huku baadhi ya mashabiki wapenzi kabisa wa Arsenal wakiwa na ndoto ya kukutana na wachezaji wanaowaenzi siku moja, Bernice yeye alikuwa ana nafasi ya kipekee ya kuwapikia chakula. Upendo wake kwa mapishi ulimsaidia
3 days ago