How To Apply for School Assistant Jobs Using SAYouth,How to Use SAYouth to Apply for School Assistant Jobs,How to Use SAYouth to Apply for School Assistant Jobs,How to Use SAYouth to Apply for School Assistant Positions,How to Use SAYouth to Apply for Jobs as a School Assistant,SAYouth School Assistant Job Application 2022,General School Assistant Online
11 months ago
Cipla Graduate Internship Programme 2022-2023,Cipla South Africa: Internships 2022 / 2023,Cipla: Internships opportunity 2022/2023,Cipla Graduate Internship Programme Cipla Graduate Internship Programme 2022-2023 The graduate program is meant to cultivate new talent for our future growth by providing chances to young people with great potential from a variety of backgrounds. Through this program, graduates
11 months ago
Aspen Finance Graduate Programme 2022-2023,Graduate Program in Finance at Aspen in 2022–2023,2022-2023 Aspen Finance Graduate Program,Aspen Graduate Finance Program 2022–2023 Aspen Finance Graduate Programme 2022-2023 Start your 12-month internship with a global leader in specialty and brand-name pharmaceuticals. This company has a wide range of products that treat a wide range of acute and
11 months ago
First National Bank (FNB): Internship Programme 2022 / 2023,First National Bank FNB Internship Programme 2022 / 2023,First National Bank (FNB) Graduate Internships 2022 / 2023,FNB Graduate Trainee Programme 2022 / 2023 First National Bank FNB Internship Programme 2022 / 2023 First National Bank (FNB; Afrikaans: Eerste Nasionale Bank (ENB)) is one of South Africa’s “big four” banks. It
11 months ago
Matokeo Yanga vs Zalan leo 17 September 2022 CAF Champions League,Yanga vs Zalan leo,Matokeo Yanga vs Zalan leo, Matokeo Yanga leo 17 September 2022, Matokeo Yanga sc leo,Matokeo Young Africans Sports Club leo, Matokeo Yanga vs Zalan 17.9.2022,Matokeo Yanga vs Zalan September 17,2022 Matokeo Yanga vs Zalan leo 17 September 2022 CAF Champions
1 year ago
Magazetini Leo 3 September 2022 Tanzanian Newspapers
1 year ago
Magazetini Leo 2 September 2022 Tanzanian Newspapers Magazetini Leo 2 September 2022 Tanzanian Newspapers
1 year ago
Magazetini leo 31 August 2022 Tanzanian Newspapers Magazetini leo 31 August 2022 Tanzanian Newspapers
1 year ago
Magazetini Leo 30 August 2022 Tanzanian Newspapers
1 year ago
Magazetini Leo 28 August 2022 Tanzanian Newspapers,Magazeti ya leo,Magazeti ya Tanzania 28 August 2022, Magazeti ya leo Tanzania August 28,2022, Magazeti ya Michezo leo 28 August 2022, Tanzania Newspapers August 28,2022 Magazetini Leo 28 August 2022 Tanzanian Newspapers
1 year ago
Magazetini Leo 26 August 2022 Tanzanian Newspapers
1 year ago
Magazetini leo 25 August 2022 Tanzanian Newspapers Magazetini leo 25 August 2022 Tanzanian Newspapers
1 year ago
Magazetini leo 23 August 2022 Tanzanian Newspapers Magazetini leo 23 August 2022 Tanzanian Newspapers
1 year ago
Magazetini Leo 22 August 2022 Tanzanian Newspapers
1 year ago
Over one million people are expected to benefit from the construction of an industrial park in Kwala Area, Kibaha District in Coast Region.
1 year ago
Magazetini leo 21 August 2022 Tanzanian Newspapers D
1 year ago
How to Get a Fashion degree in Australia 2022/2023 Image Source: Flickr A fashion degree is an undergraduate degree in Fashion design and Merchandising. It is a postgraduate program that focuses on the study of fashion design, marketing and business management. It can be completed in one year or three months as repayment for
1 year ago
The post Lake Victoria Ferry Service appeared first on Kiroyera Tours.
1 year ago
How to Get a Fashion degree in the United Kingdom Image Source: Flickr When it comes to choosing a career in which you’ll spends the majority of your time working, it can be difficult to know where to begin. After all, there are so many different fields available that it can be difficult to
1 year ago
How To Get A online psychology degree accredited, Accredited Online Bachelor’s in Psychology, online psychology degree accredited,accredited online associates degree in psychology How To Get A Accredited Online Bachelor’s in Psychology Image Source: Flickr The online degree is a great way to study psychology and earn your degree this year without having to
1 year ago
Online Teachers Application System 2022 Teachers Application,OTEAS Ajira Za walimu TAMISEMI 2022/2023, Ajira za Walimu 2022,Ajira Mpya za walimu 2022,Mfumo wa Maombi ya Ajira,OTEAS Tamisemi 2022,Ajira za Walimu 32,000 , Ajira mpya za Walimu 32,000, Login,Register,ajira.tamisemi.go.tz,Mfumo wa Maombi ajira za walimu 2022 OTEAS Ajira Za walimu TAMISEMI 2022/2023 Tanzania is an East
1 year ago
This month we lost a cherished member of the Kiroyera Tours family, Mr Super Kalemera, known simply as ‘Mr Super’ to many travellers, clients and friends the world over. He was an experienced tour guide, qualified driver, mesmerising storyteller and one of the kindest and wisest teachers you could ever wish to meet. Mr Super
The post NEW ‘KAGERA SUPER KALEMERA TOURISM AWARD’ appeared first on Kiroyera Tours.
1 year ago
Magavana wa majimbo manne ya nchini Urusi wamejiuzulu jana wakati huu ambao nchi hiyo ikijiandaa kukabiliana na athari za vikwazo vya kiuchumi kutoka katika Nchi za Magharibi, Shirika la habari la REUTERS limeripoti bila kutaja sababu za kujiuzulu kwao.
1 year ago
KIUNGO fundi wa Simba, Clatous Chama hataonekana kwenye mechi wala mazoezini kwa mwezi mmoja kutokana na majeruhi yake, Mwanaspoti limejiridhisha. Staa huyo kipenzi cha mashabiki aliyekuwa analipwa mshahara wa Sh50Milioni akiwa Berkane, hakucheza dhidi ya Namungo kule Ilulu Lindi pamoja na Ruvu Shooting juzi Jumapili Uwanja wa Benjamin Mkapa na kuibua minong’ono kwamba hana maelewano mazuri na kocha wa Simba, Pablo Franco tangu mechi ya Yanga ilipomalizika kwa matokeo ya suluhu. Mwanaspoti linafahamu Chama aliyesajiliwa kwa Sh700Milioni kule Berkane, ni...
1 year ago
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam May 11, 2022,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania,
1 year ago
Israeli army denied it had deliberately targeted journalists.
1 year ago
NA LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa kijiji cha Mavoloni, Yatta, kaunti ya Machakos, wametoa malalamiko baada ya kufurushwa kutoka maeneo ya milimani walikokuwa wakiishi kwa miaka mingi. Familia zaidi ya 300 zilifurushwa wiki jana, kutoka maeneo hayo ambayo wameishi kwa miaka mingi. Baada ya kutimuliwa mahali hapo sasa maskwota hao wamelazimika kutafuta makazi mapya katika makanisa
1 year ago
Tanzania banned sugar from Uganda in 2019, saying the imports originated from third-party countries.
1 year ago
NA LABAAN SHABAAN TAKWIMU za Wizara ya Kilimo 2021, zinaonyesha nazi huzalishwa katika kaunti sita za pwani; Kilifi, Kwale, Lamu, Mombasa, Taita Taveta na Tana River. Ila kuna uwezo mkubwa kwa kaunti nyingine kama Tharaka Nithi, Meru, sehemu kadhaa Makueni, Machakos, Busia, Homa Bay na Siaya kuzalisha mazao ya minazi nchini. Kenya ina uwezo wa
1 year ago
NA CHARLES WASONGA SIO maamuzi yote ya mahakama yanapaswa kuchukuliwa kuwa halali na yanayopaswa kukubalika na watu wote. Hii ndio maana kipengele cha 159 cha Katiba ya sasa, mtu yeyote anaweza kukata rufaa dhidi ya maamuzi ya ngazi zote za mahakama isipokuwa yale ya Mahakama ya Juu. Ni kwa misingi hii ambapo ninatoa wito kwa
1 year ago
It now joins Kenya in eastern Africa in rolling out 5G network.
1 year ago
Na Mwanadishi Wetu, Mtanzania Digital Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine amekutana kwa mazungumzo Balozi wa Malawi nchini, Andrew Kumwenda pamoja na Balozi wa Visiwa vya Comoro nchini, Dk. Ahamada El Badaoui leo katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam. Awali akizungumza na Balozi
1 year ago
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Serikali imesema inajivunia uhusiano na ushirikiano imara baina yake na Umoja wa Ulaya (EU) ambapo mpaka sasa zaidi ya kampuni 100 za nchi wanachama wa umoja huo zimewekeza Tanzania. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam wakati
1 year ago
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Ufaransa imeonesha kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na zinazochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini Tanzania. Kauli hiyo imetolewa na Seneta wa Ufaransa anayeshughulikia masuala ya Wafaransa waishio Nje ya Ufaransa, Olivier Cadic wakati alipokutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje
1 year ago
Abuja, Nigeria Chuo kikuu cha Ibadan, Nigeria, chaonesha utayari wa kushirikiana na vyuo vya Tanzania katika kufundisha Kiswahili. Dhamila hiyo imebainishwa wakati wa ziara ya, Balozi Benson Alfred Bana chuoni hapo, Mei 10, 2022. Pamoja na mambo mengine, Balozi alifanya ziara hiyo kuushukuru Uongozi wa Chuo Kikuu cha Ibadan kumtunuku Shahada ya Udaktari wa Heshima
1 year ago
Na Clara Matimo, Mwanza Ili kuhakikisha wafanyabiashara wa ndani wanapata fursa ya kupeleka bidhaa zao kwenye masoko ya nje ya nchi wamepewa mafunzo yatakayowasaidia kufahamu vikwazo visivyo vya kikodi waweze kuyafikia masoko hayo kwa urahisi. Mafunzo hayo ya siku tatu yaliyoanza Mei 9 hadi 11, mwaka huu yanatolewa jijini hapa na Kituo cha Biashara za Kimataifa (ITC) kupitia Mradi
1 year ago
Na MASHIRIKA CHELSEA walishinda taji la Ligi Kuu ya Soka ya Wanawake nchini Uingereza (WSL) kwa mara ya tatu mfululizo baada ya kutandika Manchester United 4-2 katika siku ya mwisho kwenye kampeni za muhula huu mnamo Jumapili. Sam Kerr alifunga mabao mawili katika kipindi cha pili na kusaidia waajiri wake Chelsea kutoka nyuma na kuzamisha
1 year ago
Mbunge wa Makete, Festo Sanga ametaka serikali kufanya mabadiliko ya sheria ya elimu ya mwaka 1978 ili kuondoa mwanya wa kila waziri anayeingia kwenye wizara hiyo kuamua anavyotaka.
1 year ago
NA KASSIM ADINASI MBUNGE wa Ugenya, David Ochieng, ambaye pia ni kiongozi wa chama cha MDG, amemrai Rais Uhuru Kenyatta kuanzisha kampeni kali ya kumpigia debe mgombea wa Azimio La Umoja, Raila Odinga, eneo la Kati akisema muda unayoyoma. Akizungumza Ugenya ambapo alitoa basari kwa watoto maskini, Bw Ochieng alisema Kiongozi wa Taifa hapaswi kusubiri
1 year ago
NA WANDERI KAMAU BEI ya mayai imeshuka kwa asilimia 20 nchini kutokana na ongezeko la uingizaji wake kutoka mataifa ya nje. Hali hiyo pia imechangiwa na kushuka kwa kiwango cha matumizi ya bidhaa hiyo miongoni mwa Wakenya. Kwa sasa, kreti moja ya mayai inauzwa kwa Sh360, ikilinganishwa na Sh450 mwezi Aprili. Mwenyekiti wa Chama cha
1 year ago
NA MHARIRI MATUKIO ya kisiasa yanayoendelea kushuhudiwa nchini yanazidi kuthibitisha kuwa, raia bado hatiliwi maanani sana katika mipangilio ya siasa za kitaifa. Kwa wiki kadha sasa, mijadala tele imekuwepo kuhusu makubaliano ndani ya miungano mikuu ya kisiasa. Baadhi ya vyama vimekuwa vikilalamikia kutengwa katika mipango ya miungano hiyo licha ya kuwa na mikataba ya maelewano.
1 year ago
Tanzania banned sugar from Uganda in 2019, saying the imports originated from third-party countries.
1 year ago
Kesi ya mauaji inayowakabili maofisa saba wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara, leo imeahirishwa mpaka Mei 23 mwaka huu.
1 year ago
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un ametuma salamu za pongezi kwa Rais Vladimir Putin baada ya kusherehekea siku ya ushindi ya Urusi, akielezea mshikamano thabiti wa nchi yake na Urusi, shirika la habari la Korea Kaskazini KCNA limeripoti.
1 year ago
Na GEOFFREY ANENE DEREVA McRae Kimathi ameelekea nchini Ureno kushiriki duru ya nne ya Mbio za Magari Duniani (WRC) itakayofanyika Mei 19-22. Bingwa huyo wa Afrika wa kitengo cha chipukizi alikuwa Uganda wikendi iliyopita (Mei 6-8) kwa duru ya Afrika ya Pearl ambapo alimaliza nambari tisa kwa jumla, nambari nne katika kitengo cha washiriki wa
1 year ago
Mbeya. Baada ya kukwama katika mchezo wake uliopita dhidi ya Mtibwa Sugar 1-0, leo Jumanne Mbeya City imefanya kweli kwa kuwazamisha Azam FC 2-1 na kupanda nafasi nne za juu. Ushindi huo unaifanya Mbeya City kuwatambia wapinzani hao msimu huu kwa kuchukua pointi nne baada ya mechi ya raundi ya kwanza iliyopigwa Chamazi Dar es Salaam kumalizika kwa sare ya mabao 2-2. Katika mchezo huo uliopigwa uwanja wa Sokoine jijini hapa, ulianza kwa kupooza, huku kila timu ikionekana kumsoma mpinzani...
1 year ago
With the queen forced to withdraw for the first time in almost 60 years, Charles stepped in to read out the government's legislative agenda.
1 year ago
Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mkoa wa Kagera, Toba Nguvila ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama katika Wilaya hiyo kuwakamata na kuwachukulia hatua za kisheria wote wanaodaiwa kuchoma moto gari la Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Nyamilanda wilayani humo, Emmanuel Sheiza nyumbani kwake.
1 year ago
Mahakama ya kikatiba ya Uganda imemtaka Mtoto wa Rais Yoweri Museveni, Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba, kujibu shtaka analotuhumiwa nalo la kueleza nia yake ya kuwania urais akiwa bado anahudumu katika jeshi la nchi hiyo.
1 year ago
Wabunge wameitaka serikali kulipa fidia kwa wafanyabiashara waliopoteza mali zao kutokana na ajali za moto ambazo siku za hivi karibuni zimezuka katika masoko mbali mbali nchini.
1 year ago