Wasomi Ajira General
Logistics and Supply Chain – Talent Community

Logistics and Supply Chain – Talent Community About the Company With over 74,000 employees at 1,400 locations in over 100 countries, the Kuehne+Nagel Group is one of the world’s leading logistics companies. Its strong market position lies sea logistics, air logistics, road logistics and contract logistics with a clear focus on integrated logistics solutions. Interested

The post Logistics and Supply Chain – Talent Community appeared first on Wasomi Ajira.


SA President Ramaphosa tests positive for Covid-19

Ramaphosa, who is fully vaccinated, began feeling unwell after leaving a state memorial service for former president FW de Klerk in Cape Town.

1 year ago


Taifa Leo General
WANTO WARUI: Serikali iingilie suala la mzigo unaobebeshwa wazazi kufuatia migomo shuleni

Na WANTO WARUI TANGU muhula wa pili wa mwaka huu wa 2021 kuanza, wanafunzi wengi wa shule za Sekondari wamekuwa wakifanya michezo ya paka na panya na walimu. Kuchoma shule na kuzua fujo mara kwa mara kwa wanafunzi kumewaacha walimu na wazazi hoi wasijue la kufanya. Walioathirika zaidi ni wazazi hasa wale wasioweza kujikimu kimaisha

1 year ago


Taifa Leo General
WANDERI KAMAU: Manifesto zimegeuzwa jukwaa za kupotosha raia

Na WANDERI KAMAU MANIFESTO huwa ni orodha ya ahadi za kisiasa, kiuchumi na kijamii ambazo vyama ama wagombea wa nyadhifa mbalimbali huahidi kuwatimizia wafuasi wao ikiwa watafaulu kutwaa nafasi hizo. Ni mtindo ambao umekuwepo kwa muda mrefu katika mifumo yote ya kiutawala ambayo ishawahi kuwa hapa duniani—ya kidemokrasia, kifalme ama kikomunisti. Chimbuko lake lilitokea katika

1 year ago


Taifa Leo General
Kingi awaacha wafuasi wake kwenye mataa

Na BRIAN OCHARO CHAMA cha Pamoja African Alliance (PAA), kinachoongozwa na Gavana wa Kilifi, Bw Amason Kingi, kimepanga kuandaa mkutano kuondolea wafuasi wake dukuduku kuhusu mwelekeo ambao kitachukua kwa urais 2022. Hii ni baada ya Bw Kingi kuashiria kuwa chama hicho kitapigia debe azimio la Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga kwa urais. Wiki iliyopita,

1 year ago


Taifa Leo General
Uhuru arejesha Jamhuri eneo ilikoanzia

Na WANDERI KAMAU RAIS Uhuru Kenyatta jana Jumapili alirejesha maadhimisho ya sherehe za Sikukuu ya Jamhuri katika Bustani ya Uhuru, Nairobi, ambako zilifanyika kwa mara ya kwanza Kenya ikianza kujitawala Desemba 12 1964. Kwenye hotuba yake, Rais Kenyatta alisema hatua hiyo inalenga kuwafahamisha Wakenya kuhusu safari ambayo Kenya imepiga ili kufikia iliko. “Hili linalenga kutukumbusha

1 year ago


Taifa Leo General
Ni vigumu kubashiri EPL sasa!

Na MASHIRIKA MKUFUNZI Pep Guardiola wa Manchester City amekiri kuwa ushindani mkali unaotamalaki kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu huenda ukashuhudia mshindi wa kipute hicho akianza kujidhihirisha katika raundi chache za mwisho wa muhula. Hii ni baada ya Liverpool, Chelsea, Manchester United na Arsenal ambao pia ni wawaniaji halisi wa taji la

1 year ago


Taifa Leo General
Tundo mfalme mpya mbio za magari nchini

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika, Carl ‘Flash’ Tundo jana Jumapili pia alitawazwa mfalme wa Mbio za Magari za Kitaifa nchini (KNRC) baada ya kumaliza duru ya mwisho ya KCB Guru Nanak Rally katika nafasi ya tatu katika Kaunti ya Kajiado. Licha ya bingwa huyo wa Guru Nanak Rally mwaka 2011, 2012, 2017, 2018 na

1 year ago


Taifa Leo General
Gor yarejea kileleni, Vihiga Bullets ikisimamisha AFC

Na CECIL ODONGO GOR Mahia jana Jumapili ilirejea hadi kileleni mwa msimamo wa jedwali la Ligi Kuu licha ya kupata sare tasa dhidi ya Bandari katika mechi iliyosakatwa katika uga wa kitaifa wa Nyayo. Mabingwa watetezi Tusker ambao walikuwa wakirejea ligini kwa mara ya kwanza baada ya kubanduliwa kwenye Kombe la Mashirikisho (CAF) wikendi iliyopita,

1 year ago


Taifa Leo General
MWALIMU WA WIKI: Okwalo ni mtunzi na mwalimu stadi

Na CHRIS ADUNGO JOHN Okwalo Wambani alianza kuvutiwa na ualimu akiwa mtoto mdogo. “Walimu walikuwa watu wa kustahiwa katika jamii na walikuwa wamepiga hatua kubwa kimaendeleo. Ualimu ilikuwa, na bado ni kazi yenye hadhi na tija,” anasema. Bi Kendeli na Bw Andrew Shikanda waliomfundisha Okwalo katika Shule ya Msingi ya Mumias Complex ndio walimvuvia mwanafunzi

1 year ago


Taifa Leo General
PAUKWA: Biashara Haramu ya Titi (sehemu 5)

Na ENOCK NYARIKI “KWENU ni wapi?’’ afisa kwenye zamu katika kituo cha polisi alimuuliza Machugachuga. “Masosa. Kwetu ni Masosa katika kaunti ya Nyamira,’’ Machugachuga alieleza. “Umetoka mbali hivyo kuja kufanya biashara ya kuuza pombe haramu?’’ ni kama yule askari alimuuliza, ni kama alimsuta. Machugachuga alijitetea kwamba yeye alikuwa msaidizi wa Titi aliyeimiliki biashara hiyo haramu.

1 year ago


 Job Vacancy Highlights Show All 
Taifa Leo General
ELIMU MSINGI: Binti mfumaji mazulia

CHARLES WASONGA na PIUS MAUNDU BINTI Abigael Mumo, ambaye ni mwanafunzi wa gredi ya tatu katika Shule ya Msingi la Kaluluini, Kaunti ya Machakos, amevutia watu wengi kutokana na talanta yake ya kipekee ya ushonaji wa mazulia madogo ya milangoni (door mats). Mbali na kushona, msichana huyu amekirimiwa kipaji cha kurembesha mazulia hayo kwa maandishi

1 year ago


Milard Ayo General
“Fedha za mkopo zinatumika kwa usafiri na mawasiliano” BOT

Taarifa ya mwezi ya Maendeleo ya Uchumi inayotolewa kila mwezi na Benki Kuu ya Tanzania yameonesha sehemu kubwa ya fedha zinazokopwa nje hutumika kwa Usafiri na Mawasiliano.

1 year ago


Wasomi Ajira General
Magazeti ya leo Tanzania December 13,2021 Newspapers

Magazeti ya leo Tanzania December 13,2021 Newspapers Magazeti ya Leo Jumatatu December 13 2021 Tanzania Newspapers, Magazeti ya Leo Tanzania 13 December 2021 Newspapers , Habari kubwa katika Magazeti ya Leo 13 Dec 2021, Magazeti ya Leo,Magazeti ya Tanzania 13.12.2021, Gazeti,Champion leo 13 December 2021, Mwanasapoti leo 13 December 2021, Mwananchi leo 13 December 2021,

The post Magazeti ya leo Tanzania December 13,2021 Newspapers appeared first on Wasomi Ajira.


Taifa Leo General
TAHARIRI: Hotuba ya Uhuru ichochee kuondoa ubaguzi na dhuluma

Na MHARIRI RAIS Uhuru Kenyatta alitoa hotuba ya Jamhuri Dei jana Jumapili ambayo wapenzi wa historia bila shaka wataiona kuwa ya kusisimua. Ilikuwa hotuba iliyosheheni historia ndefu ya taifa letu kuanzia enzi za ukoloni na juhudi za upiganiaji uhuru hadi pale ambapo nchi ya Kenya iliweza kuwa jamhuri. Rais alieleza kwa kirefu kiini cha kukongamana

1 year ago


Taifa Leo General
Ndoto ya BBI lazima itatimizwa, Uhuru asema

Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta jana Jumapili alisema kuwa ndoto yake ya kubadilisha katiba ya Kenya iliyopitishwa 2010 kupitia Mpango wa Maridhiano (BBI), lazima itatimia japo mchakato huo ulisitishwa na Mahakama. Akihutubu alipoongoza nchi kuadhimisha sherehe za 58 za Jamhuri Dei jijini Nairobi, Rais Kenyatta alisema BBI iliahirishwa tu na kwamba ni lazima mianya

1 year ago


Taifa Leo General
Hofu vimbunga vikiua watu 100

Na MASHIRIKA NEW YORK, Amerika RAIS Joe Biden wa Amerika ameahidi kuyasaidia majimbo yaliyoathiriwa na msururu wa vimbunga Jumapili, ambapo viliharibu mamia ya nyumba, biashara na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 100. Akitaja vimbunga hivyo kama “mojawapo ya mikasa mikubwa zaidi kuwahi kuikumba nchi hiyo”, Biden aliidhinisha msaada wa dharura kutolewa kwa jimbo la

1 year ago


Taifa Leo General
Uhuru asisitiza umuhimu wa umoja

PSCU na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumapili alikariri umuhimu wa umoja wa kitaifa alipoongoza taifa katika sherehe ya maadhimisho ya Jamhuri Dei katika bustani ya Jamhuri, Nairobi. Bustani hiyo ilikarabatiwa na Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kutokana na umuhimu wake kihistaria kwani hapo ndipo bendera ya mkoloni ilishushwa na bendera Kenya ikapandishwa ili

1 year ago


Taifa Leo General
Wiper yajitenga na Gideon Moi kuhusu kuunga Raila 2022

Na PIUS MAUNDU CHAMA cha Wiper, kimetofautiana na Kanu kuhusu ushirikiano wa Muungano wa One Kenya Alliance (OKA) na chama cha ODM kabla ya uchaguzi mkuu ujao. Mwenyekiti wa Kanu, Bw Gideon Moi, Ijumaa alisema kuwa OKA haikuwa na tofauti na Bw Odinga kwa kuwa wana lengo moja kwenye uchaguzi mkuu ujao. Hata hivyo, viongozi

1 year ago


Taifa Leo General
Hisia mseto zatolewa kufuatia kauli ya Ngilu ‘kukejeli’ mavazi ya Ruto

Na WANGU KANURI WATUMIAJI wa mtandao wa kijamii wa Twitter wameonyesha hisia mseto baada ya Gavana wa Kitui Charity Ngilu kuchapisha picha ya Naibu Rais William Ruto akiwa amevalia mavazi ya kitamaduni na kisha kudai kwamba ni kama alisaka huduma za mganga. Kwenye picha zilizomfanya Bi Ngilu kutoa matamshi ya aina yale, Naibu Rais alikuwa

1 year ago


Taifa Leo General
ODM kumenyana na UDA Bondeni

Na VITALIS KIMUTAI CHAMA cha ODM kinachoongozwa na aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga, kimepiga hatua na chatarajiwa kutoana jasho na United Democratic Alliance (UDA), cha Naibu Rais William Ruto eneo la Rift Valley kwenye uchaguzi mkuu ujao. Vyama hivyo viwili, pamoja na kile cha Kanu cha seneta wa Baringo, Gideon Moi, ndivyo vyama vikubwa vya

1 year ago


Taifa Leo General
Mudavadi, Weta wajianika kwa kususia hafla ya Raila

Na BENSON MATHEKA HATUA ya kiongozi wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi na mwenzake wa Ford Kenya Moses Wetangula ya kukataa mwaliko wa kiongozi wa ODM Raila Odinga kuhudhuria kongamano la Azimio la Umoja alilotangaza rasmi azma yake ya urais inaweza kuwa mwanzo wa mwisho wa Muungano wa One Kenya Alliance (OKA).

1 year ago


Taifa Leo General
JAMVI: Uhatari wa ‘suti’ kwa Ruto, Raila

Na CHARLES WASONGA HATUA ya Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga kushikilia kuwa wawaniaji wanaounga azma zao za urais sharti wawanie kwa tiketi za vyama vyao huenda ikawakosesha kura mwaka ujao. Hii, kulingana na wadadisi, ni kwa sababu vyama vingine vidogo hukumbatiwa na wawaniaji ambao hutendewa hiana katika mchujo wa vyama

1 year ago


Taifa Leo General
JAMVI: Waasi kuhama Ford-K ni dafrau kwa Wetangula

Na CHARLES WASONGA MZOZO ndani ya chama cha Ford Kenya utafikia kilele Jumanne pale mrengo unaoongozwa na mbunge wa Kanduyi Wafula Wamunyinyi utakapokigura rasmi na kujiunga na chama kingine cha kisiasa. Wadadisi wanasema hatua hiyo ni pigo kwa chama hicho ambacho ni chama kongwe zaidi cha upinzani nchini. Kiliasisiwa na aliyekuwa shujaa wa ukombozi wa

1 year ago


Taifa Leo General
Mizomo ya wafuasi wa Maina Njenga kwa Ruto yachemsha kambi yake

Na WANDERI KAMAU SUALA lililozua gumzo wiki hii ni majibizano yaliyozuka kati ya mrengo wa Naibu Rais William Ruto na mwanasiasa Maina Njenga (Laikipia), baada ya watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Bw Njenga kumzomea vikali Dkt Ruto alipofanya kampeni katika eneobunge la Laikipia Magharibi, Kaunti ya Laikipia. Kwa ghadhabu, Dkt Ruto aliwakosoa vikali watu hao,

1 year ago


Taifa Leo General
Maadhimisho Jamhuri Dei 2021: Rais Kenyatta asifia Raila Odinga

Na SAMMY WAWERU SHEREHE za madhimisho ya Jamhuri Dei 2021 zimefanyika Jumapili, katika Bustani ya Uhuru, jijini Nairobi. Rais Uhuru Kenyatta ameliongoza taifa katika maadhimisho hayo ya Makala ya 58, yanayosherehekewa kila mwaka, baada ya Kenya kuwa Jamhuri Desemba 12, 1963. Kati ya viongozi wenye nyadhifa kuu serikalini na wanasiasa waliohudhuria, ni naibu wa rais,

1 year ago


Taifa Leo General
Uhuru aapa kuwa BBI itatimia

Na CHARLES WASONGA KWA mara nyingine Rais Uhuru Kenyatta amesisitiza kuwa mageuzi ya katiba yaliyopendekezwa katika Mswada wa Mpango wa Maridhiano (BBI) sharti yatatekelezwa. Akiongea Jumapili katika bustani ya Jamhuri, jijini Nairobi, wakati wa sherehe za 57 za Jamhuri Rais alisema kuwa mchakato huo utachangia kupililia umoja ambao mashujaa wa uhuru walipigania tangu 1963. “Tunahitaji

1 year ago


Mwanaspoti Sports
GSM aibuka kwa Mkapa

WACHEZAJI wa Yanga jana waligawa jezi kwa mashabiki wao waliofika kwenye Uwanja wa Mkapa kushuhudia mechi yao ya Ligi Kuu Bara mzunguko wa nane.

1 year ago


Milard Ayo General
Picha:kutoka kwenye Tamasha la Xtra Uni Bash Dsm 2021

Ni Desemba 11, 2021 ambapo kipindi cha XXL cha Clouds FM kimekutanisha wanafunzi katika tamasha liitwalo Xtra Uni Bash ambapo linafanyika Jangwani Sea Breezy Mbezi Beach Dar es Salaam.

1 year ago


The Citizen General
Challenges facing spices value chain unveiled

Despite a huge potential in the spices business worldwide, the crop’s value chain faces numerous challenges ranging from farmers, processors and transporters.

1 year ago


The Citizen General
Majaliwa reiterates government support for private sector

The government is ready to give a much-needed back up to members of the private sector, but a challenge with them is that they lacked commitment and trust, it was said yesterday.

1 year ago


The Citizen General
Experts raise alarm over 'new' banana diseas

Agricultural scientists have sent an alarm over a deadly banana disease recently detected in the country.

1 year ago


The Citizen General
Experts raise alarm over 'new' banana disease

Agricultural scientists have sent an alarm over a deadly banana disease recently detected in the country.

1 year ago


Milard Ayo General
Nyanshiski afunga ndoa, sherehe ya siri

Mwanamuziki Nyamari Ongegu maarufu Nyanshiski amefunga ndoa na mpenzi wake Zia Bett katika hafla ya faragha iliyofanyika mapema Desemba 10, 2021.

1 year ago


The Citizen General
Mwinyi not losing any sleep over emerging Union issues

The President of Zanzibar, Dr Hussein Ali Mwinyi yesterday said newly emerging union contentious issues will not be eliminated completely despite efforts made. H

1 year ago


Mtanzania General
Meya Bukoba atoa siku tatu kwa mkuu wa shule kukamilisha ujenzi wa madarasa

Na Renatha Kipaka, Bukoba Meya wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, Godson Gypson pamoja na wenyeviti wa Kamati za kudumu wa Halmashari hiyo ametoa siku tatu kwa Mkuu wa shule ya Sekondari Buhembe, Constantine Nyawawa kukamilisha ujenzi wa vyumba viwili vya madarasashuleni hapo huku akimtaka Ofisa elimu sekondari, Frances Nshaija kufuatilia ili kubaini kama kuna

1 year ago


The Citizen General
Smooth transition of power in Tanzania, lesson for other countries

Political stakeholders said Tanzania has issued a strong lesson to African countries and the world community after making a smooth power transfer following the demise of former President John Magufuli.

1 year ago


Wasomi Ajira General
Matokeo Azam Fc vs Kagera Sugar NBC Premier League

December 12,2021 Matokeo Azam Fc vs Kagera Sugar NBC Premier League,Results, Matokeo Azam vs Kagera,Azam Fc vs Kagera Sugar leo,Livescore , Matokeo NBC Premier League 12 December 2021, Matokeo Ligi Kuu Leo. The Tanzania Mainland Premier League is the top-level professional football league in Tanzania and is administered by the Tanzania Football Federation. The league

The post Matokeo Azam Fc vs Kagera Sugar NBC Premier League appeared first on Wasomi Ajira.


Wasomi Ajira General
Matokeo Mtibwa Sugar vs Biashara United NBC Premier League

December 12,2021 Matokeo Mtibwa Sugar vs Biashara United NBC Premier League,Mtibwa vs Biashara, Matokeo Mtibwa vs Biashara 12.12.2021, Mtibwa Sugar vs Biashara United 12 December 2021   Mtibwa Sugar Football Club is a Tanzanian football club based in Turiani. Their home games are played at Manungu Stadium.and using stadiums such as CCM jamhuri and Gairo

The post Matokeo Mtibwa Sugar vs Biashara United NBC Premier League appeared first on Wasomi Ajira.


Mtanzania General
TAWLA yatoa elimu kwa madiwani Arusha

Na Mwandishi Wetu, Arusha CHAMA Cha Wanawake Wanasheria Tanzania (TAWLA), tawi la Arusha, kimekutanisha madiwani kutoka majimbo matano ya mkoani Arusha na kuwapa mafunzo ya masuala ya uongozi. Tawla ilikutanisha madiwani hao kupitia mradi wa kuongeza ushiriki wa wanawake na vijana katika nafasi za uongozi wa kisiasa(IDIEP) ambao wanautekeleza katika mikoa mbalimbali nchini unaofadhiliwa na

1 year ago


Mwanaspoti Sports
Sasii apewa mambo matano ya kuzingatia

MWAMUZI Herry Sasii amepewa mambo matano ili kuhakikisha anahitimisha salama ngwe ya dakika 90 ya dabi ya watani wa jadi Simba na Yanga hii leo kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam.

1 year ago


Mbosso 3 weeks ago  
Nandy - The African Princess 2 weeks ago  
MariooOfficial 2 weeks ago  
MariooOfficial 3 weeks ago  
Zuchu 1 month ago  
Alikiba 2 weeks ago  
Anjella 1 day ago  
Yammi 1 week ago  
Walter Chilambo 1 day ago  
Rayvanny 3 weeks ago  
Chudy love 4 weeks ago  
Martha Mwaipaja 2 weeks ago  
kontawa 1 month ago  
Harmonize 1 week ago  
Mwanaspoti Sports
Simba, GSM, TFF vita mbichi

ISHU ya mkataba wa GSM na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imebadilika baada ya jana Simba kugomea mkutano wa maandalizi sababu kubwa ikitajwa ni kuwemo na mabango ya mdhamini mwenza huyo wa Ligi Kuu Bara.

1 year ago


Mtanzania General
Utelekezwaji watoto unavyorudisha nyuma juhudi za wanufaika wa TASAF

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro KWA miongo kadhaa sasa kumekuwa na juhudi mbalimbali za Serikali za kuhakikisha inapunguza tatizo la umasikini uliokithiri nchini. Juhudi hizo zimeendana na kuanzishwa kwa mifuko na taasisi kadha wa kadha, zote lengo lake likiwa ni kupunguza umasikini wa kaya ama mtu mmoja mmoja. Kati ya mifuko hiyo iliyoanzishwa na serikali kwa

1 year ago


Wasomi Ajira General
Chief Communications Officer at Kyaro Assistive Tech

Chief Communications Officer at Kyaro Assistive Tech,Nafasi za Kazi Kyaro Assistive Tech, Chief Communications Officer, Employment Opportunities   Title: Communications LeadLocation: Arusha, TanzaniaDeadline: 20th December 2021   About Kyaro Assistive TechKyaro is a NGO startup that designs and manufactures assistive devices for thesub-saharan african market. It is our mission to provide devices that are appropriate

The post Chief Communications Officer at Kyaro Assistive Tech appeared first on Wasomi Ajira.


The Citizen General
From colony to Jamhuri: Kenya's journey so far

Jomo Kenyatta signed the declaration of independence documents, stood and shook hands with British monarch Prince Philip. When the Duke of Edinburg handed him the tools of independence, an ecstatic crowd at Uhuru Gardens – estimated to be 250,000 people – erupted in an applause and a standing ovation.

1 year ago


Milard Ayo General
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 12, 2021

Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam December 12, 2021,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.

1 year ago


Milard Ayo General
Mwinyi “changamoto nyingi za Muungano zimefanyiwa kazi”

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Mwinyi amesema licha ya kero nyingi za Muungano kupatiwa ufumbuzi lakini hazitakwisha kabisa kwasababu yapo mambo yanayoibuka kulingana na mahitaji na matakwa ya wakati uliopo.

1 year ago


Milard Ayo General
Picha 16:Kutoka kwenye mechi ya Simba na Yanga DSM

NI Disemba 11, 2021 ambapo watani wa jadi  Simba SC na Yanga  FC walikipiga katika uwanja wa Benjamin Mkapa na matokeo kumalizika Bila kwa Bila yaani Simba 0 – 0 Yanga.

1 year ago


Taifa Leo General
ODM yaomba mbunge wa Maragua msamaha

CHARLES WASONGA na MWANGI MUIRURI CHAMA cha ODM kimemuomba msamaha Mbunge wa Maragua Mary Wamaua kufuatia kisa ambapo alidhulumiwa na walinda usalama katika mkutano wa Azimio la Umoja Ijumaa. Kwenye video iliyosambaa mitandaoni siku hiyo Bi Wamaua alionekana akibishana na walinda usalama katika lango la kuingia watu mashuhuri katika uwanja wa michezo wa Kasarani, Nairobi

1 year ago


Taifa Leo General
Wandani wa Ruto: Raila atasalitiwa

CHARLES WASONGA na SHABAAN MAKOKHA WANDANI wa Naibu Rais William Ruto wamedai kuwa kiongozi wa ODM Raila Odinga atasalitiwa na wale wanaunga mkono azma yake ya urais wakiwemo mabwanyenye wa Mlima Kenya. Wanasiasa hao jana walisema dalili ya usaliti huo zilijitokeza Ijumaa katika uwanja wa Kasarani Ijumaa wakati wanasiasa wakuu nchini walikwepa mkutano wa Azimio

1 year ago