Droo 16 Bora UEFA Champions League 2021/2022 The UEFA Champions League (abbreviated as UCL) is an annual club football competition organised by the Union of European Football Associations (UEFA) and contested by top-division European clubs, deciding the competition winners through a round robin group stage to qualify for a double-legged knockout format, and a single
The post Droo 16 Bora UEFA Champions League 2021/2022 appeared first on Wasomi Ajira.
1 year ago
Matokeo Azam Sports Federation Cup 2021/2022, Matokeo Azam Sports Federation Cup 13 December 2021, Matokeo ASFC, ASFC Leo, Matokeo Azam Sports Leo, Matokeo ya Leo Kombe la Shirikisho Tanzania 2021/2022 The Tanzania FA Cup (also called the Azam Sports Federation Cup) is the top knockout tournament of the Tanzanian football. Previously, the Nyerere Cup
The post Matokeo Azam Sports Federation Cup 2021/2022 appeared first on Wasomi Ajira.
1 year ago
Na MASHIRIKA MANCHESTER United watakuwa na kibarua kizito cha kusonga mbele kwenye kampeni za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu baada ya kutiwa katika zizi moja na Atletico Madrid ya Uhispania katika raundi ya 16-bora. Real Madrid ambao ni wafalme mara 13 wa UEFA pia watakuwa na mtihani mgumu dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) kutoka Ufaransa.
1 year ago
Na MASHIRIKA REAL Madrid walishinda mechi ya 10 mfululizo na kufungua mwanya wa alama nane kileleni mwa jedwali baada ya kupepeta Atletico Madrid 2-0 katika gozi kali la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) mnamo Jumapili usiku. Chini ya kocha Carlo Ancelotti, Real kwa sasa wanaselelea kileleni mwa jedwali kwa alama 42. Sevilla wanakamata nafasi
1 year ago
Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alifunga mabao mawili na kusaidia Paris Saint-Germain (PSG) kukung’uta AS Monaco 2-0 katika Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) mnamo Jumapili. PSG ya kocha Mauricio Pochettino iliponea chupuchupu kufungwa bao la mapema na Sofiane Diop wa Monaco aliyegonga mhimili wa lango la wenyeji wao. Bao la Mbappe lilikuwa zao la ushirikiano
1 year ago
SHIRIKISHO la mpira wa miguu la DR Congo wala halikukosea kumchagua Henock Inonga Baka ‘Varane’ kuwa beki bora wa msimu uliopita kutokana na kiwango bora alichonacho.
1 year ago
Na MASHIRIKA MASAIBU ya Barcelona katika kampeni za msimu huu yaliendelezwa na Osasuna waliowalazimishia sare ya 2-2 kwenye Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) mnamo Jumapili. Matokeo hayo yaliteremsha Barcelona hadi nafasi ya nane kwenye msimamo wa jedwali la La Liga kwa alama 15 zaidi nyuma ya viongozi Real Madrid. Matineja Nicolas Gonzalez na Abdessamad
1 year ago
Droo ya kupanga hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inarudiwa baada ya kutokea kwa tatizo la kiufundi na baadhi ya vilabu kulalamika.
1 year ago
Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Scotland, Rangers, watapimana ubabe na Borussia Dortmund ya Ujerumani katika mchujo wa raundi ya muondoano kwenye Europa League msimu huu. Kwa upande wao, Barcelona waliobanduliwa mapema katika Kundi E kwenye Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), watakwaruzana na Napoli ya Italia. Rangers walikamilisha kampeni za Kundi A katika nafasi
1 year ago
Na Ramadhan Hassan,Dodoma CHAMA cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Hazina (Hazina SACCOS) kimesema kimejipambanua kuwa na mlengo wa kutoa huduma kulingana na mahitaji na changamoto zinazowakabili wanachama ambapo mwaka 2022 wanatarajia kupitia upya riba ili kuweza kupunguza. Hayo yameelezwa leo Jumatatu Desemba 13, jijini Dodoma na Kamishna Msaidizi kutoka Wizara ya Fedha na
1 year ago
Meanwhile, TPLF is fighting off accusations of looting.
1 year ago
Na MASHIRIKA MANCHESTER United watakutana na Paris Saint-Germain (PSG) ya Ufaransa katika hatua ya 16-bora ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu wa 2021-22. Ni pambano la mikondo miwili linalotarajiwa kuwakutanisha wanasoka wawili wa haiba kubwa zaidi katika soka ya sasa duniani – Lionel Messi wa PSG na Cristiano Ronaldo wa Man-United. Mabingwa watetezi Chelsea
1 year ago
Nine people have died and three others seriously injured in a road accident that involving an omni bus traveling from Dar es Salaam to Mbeya.
1 year ago
Na Mwandishi Wetu, Karagwe Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa amewataka Vijana kuwa balozi namba moja wa kazi kubwa ya maendeleo inayofanywa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti wake Rais Samia Suluhu. Waziri Bashungwa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Desemba 13,
1 year ago
Watu tisa wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali ya gari aina ya hiace ya kubeba magazeti iliyokuwa ikitoka jijini Dar es Salaam kuelekea jijini Mbeya.
1 year ago
It will originate from Nairobi's JKIA flying to Khartoum via Juba and back to Nairobi every Wednesday and Sunday.
1 year ago
“Jana tarehe 12/12/2021 majira ya saa tatu na nusu katika mtaa wa Mabuba jijini Dodoma mbunge Humphrey Polepole alibaini kuvunjiwa dirisha la nyumba anayoishi na kuibiwa flat screen TV moja inch 55 na Specker moja ya Bluetooth, thamani ya mali yote hiyo bado haijaweza kufahamika”
1 year ago
Wahenga walisema hayawi hayawi sasa yamekuwa. Hapo awali zilizuka fununu nyingi kuhusu toleo jipya la Infinix, ikisemekana kampuni ya simu Infinix mbioni kuachia model ya kwanza ya HOT series kuwa na camera ya MP 50 na inch 6.82 kioo ambacho ni ang’avu kuwahi kuwepo kwenye series hiyo ya HOT.
1 year ago
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt Angeline Mabula amelitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na Mkandarasi Kampuni ya Ujenzi ya Estim Construction kuhakikisha mradi wa ujenzi wa Morocco Square unakamilika kufikia Juni 30, 2022.
1 year ago
Wahenga walisema hayawi hayawi sasa yamekuwa. Hapo awali zilizuka fununu nyingi kuhusu toleo jipya la Infinix, ikisemekana kampuni ya simu Infinix mbioni kuachia model ya kwanza ya HOT series kuwa na camera ya MP 50 na inch 6.82 kioo ambacho ni ang’avu kuwahi kuwepo kwenye series hiyo ya HOT.
1 year ago
Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA na dereva wake wametozwa faini ya Sh60 milioni ama watumikie kifungo cha miaka 10 gerezani kwa ulanguzi wa binadamu. Ali Mitano na Abdinasir Walde walisukumiwa hukumu hiyo baada ya kupatikana na hatia ya kuwaingiza nchini raia 11 wa Ethiopia waliokuwa wanaelekea Afrika Kusini. Hakimu mwandamizi Bw Bernard Ochoi aliwatapa na hatia
1 year ago
UONGOZI wa klabu ya Azam Fc umewatimua benchi zima la klabu hiyo baada ya kutoka sare 0-0 dhidi ya Kagera Sugar mchezo uliochezwa jana katika uwanja wa Chamazi.
1 year ago
Na RICHARD MUNGUTI NAIBU Chancela wa Chuo Kikuu cha Nairobi Prof Stephen Kiama huenda akasukumwa jela kwa kukaidi agizo la mahakama kuu. Kufuatia kukaidi kwa agizo la mahakama kuu, Jaji Maureen Onyango, Ijumaa alasiri wiki jana alimwamuru Prof Kiama afike kortini Januari 22, 2022 kuhukumiwa. Jaji Onyango alimwamuru Prof Kiama afike kortini baada ya kumpata
1 year ago
Minister assures Addis Ababa of Juba's support for the current government.
1 year ago
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba Mohamed Dewji 'Mo' amehaidi kutoa sh billion 2 kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wao.
1 year ago
Raila Amolo Odinga, a veteran Kenyan political leader and one-time prime minister, has long cast himself as an anti-establishment firebrand, despite belonging to one of the country’s top political dynasties.
1 year ago
Raila Amolo Odinga, a veteran Kenyan political leader and one-time prime minister, has long cast himself as an anti-establishment firebrand, despite belonging to one of the country’s top political dynasties.
1 year ago
The main opposition party Chadema has stressed that it will boycott the political stakeholders’ meeting that will also be attended by President Hassan.
1 year ago
Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 65 Muthui Mwenga amefariki Dunia nchini Kenya baada ya kutokea ugomvi kati yake na Mganga wa Kienyeji mwenye umri wa miaka 80 katika eneo la Mathuki, Kaunti ya Kitui.
1 year ago
MAUREEN ONGALA na WACHIRA MWANGI WATU saba walifariki katika ajali ya barabarani usiku wa kuamkia jana, Kaunti ya Kilifi. Ajali hiyo iliyotokea mwendo wa saa moja unusu eneo la Roka, barabara kuu ya Kilifi-Malindi, ilisababisha vifo vya watu wanne papo hapo, na wengine wakafariki walipofikishwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kaunti ya Kilifi. Kamanda wa
1 year ago
DR Congo is experiencing a surge in coronavirus cases.
1 year ago
Mfanyabiashara ameahidi kuchangia TZS bilioni 2 katika ujenzi wa uwanja wa Klabu ya Simba. Amesema amepokea maoni ya watu wengi na kwamba wapo tayari kuchangia, hivyo ameiomba Bodi ya Simba kukaa na kuja na utaratibu wa haraka wa kuanza utekelezaji.
1 year ago
News that Tanzania is eyeing loans and grants amounting to $3 billion (about Sh7 trillion) from the Arab Bank for Economic Development (Badea) in Africa in the next five years was welcomed by some analysts and the business community, all of whom are optimistic that the monies will stimulate economic growth.
1 year ago
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa wadi ya Mang’u, Gatundu Kaskazini watanufaika pakubwa kutokana na mradi mkubwa wa maji wa Kamwamba. Mradi huo umefadhiliwa na serikali ya Kaunti ya Kiambu. Mradi huo uliozinduliwa majuzi na Gavana wa Kaunti ya Kiambu Dkt James Nyoro utanufaisha familia nyingi eneo la Gatundu Kaskazini ambao wanategemea kilimo. Kulingana na afisa mkuu
1 year ago
President Samia Suluhu Hassan yesterday warned the Police Force over the misconduct of some of its members, saying it was eroding public confidence in law enforcement.
1 year ago
Wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika Simba, wamefanikiwa kutinga hatua ya makundi baada ya ushindi wa jumla wa mabao 4-2 dhidi ya Red Arrows ya Zambia katika hatua ya mwisho ya mchujo ambapo mechi zake za mwanzo zilichezwa Novemba 28 na mechi za marudiano ilikuwa Desemba 5.
1 year ago
Na JOHN KIMWERE MABINGWA watetezi kwenye mechi za Koth Biro, Dallas Allstars walidungwa na Digo United bao 1-0 kwenye patashika iliyopigiwa ugani Umeme Ziwani, Nairobi. Kwenye mechi hiyo ya Kundi H, bao hilo lilifunikwa kimiani na David Mlami kunako dakika ya 30. ”Tumeanza mechi zetu vibaya ambapo itabidi turekebishe makosa yetu ili kujiweka vizuri kwenye
1 year ago
Rais wa Afrika Kusini Cyrill Ramaphosa amebainika kuwa na Covid 19 leo Jumapili December 12,2021 na sasa anapatiwa matibabu, taarifa iliyotolewa na Serikali ya Afrika Kusini inasema Ramaphosa hayupo kwenye hali mbaya lakini afya yake inafuatiliwa kwa ukaribu na Wahudumu wa Afya kutoka Jeshi la Afrika Kusini.
1 year ago
Na WACHIRA MWANGI MTETEZI wa haki za binadamu, Kasisi Gabriel Dolan, ametoa wito kwa wananchi wote kuungana dhidi ya visa vya watu kupotezwa kwa njia zisizoeleweka, akisema inaonekana juhudi za kupinga visa hivyo zimeachiwa Waislamu pekee. Bw Dolan alisema suala hilo halifai kuchukuliwa kama tatizo linalokumba Waislamu pekee bali ni tatizo la Wakenya wote. Idadi
1 year ago
The East African economic bloc, Inter-governmental Authority on Development (Igad) on Friday suspended South Sudan over unpaid dues.
1 year ago
Na WAIKWA MAINA TUME ya Maadili na Kukabiliana na Ufisadi (EACC) imeagiza madiwani 15 wa Kaunti ya Nyandarua kujibu madai ya kujitengea Sh3.6 milioni kinyume cha sheria katika mwaka huu wa kifedha. Mkuu wa EACC eneo la Kati, Bw Charles Rasugu, alisema madiwani hao wanatarajiwa kufika mbele ya wachunguzi Jumanne, Jumatano na Alhamisi huku baadhi
1 year ago
Na WINNIE ATIENO GAVANA wa Migori, Bw Okoth Obado, ameanzisha mpango wa kusaka ufuasi katika eneo la Pwani, kwa maandalizi ya uchaguzi ujao. Akiongea Jumapili kwenye hafla ya kufungua rasmi ofisi ya kwanza ya chama hicho eneo la Changamwe, Kaunti ya Mombasa, Bw Obado alisema chama chake cha People’s Democratic Party (PDP) kitakuwa na wagombeaji
1 year ago
GEMU tamu sana. Wachezaji waliipenda na hata mashabiki waliipenda. Takwimu za dakika 90 zinaonyesha hakukuwa na butu butu nyingi ingawa rafu zilionekana.
1 year ago
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam December 13, 2021,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
1 year ago
Na SAMMY KIMATU MSHUKIWA mmoja amekamatwa na maafisa wa polisi waliofanikiwa kutwaa lita 38 za pombe haramu ya chang’aa wakati wa msako dhidi ya vileo vilivyoharamishwa na serikali. Operesheni hiyo ilifanyika katika mtaa wa Makongeni kwenye kaunti ndogo ya Makadara. Kamanda wa polisi katika eneo la Makadara, Bw Timon Odingo aliambia Taifa Leo msako huo
1 year ago
Inter-governmental Authority on Development (Igad) suspended South Sudan over unpaid dues.
1 year ago
CHARLES WASONGA na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta, jana Jumapili alionyesha wazi kwamba anamuunga kiongozi wa ODM Raila Odinga kuwa mrithi wake kwa kumkweza mbele ya Naibu Rais William Ruto katika maadhimisho ya Jamhuri Dei. Rais Kenyatta alimmiminia sifa Bw Odinga kiasi cha kuvunja itifaki na kumwalika kuhutubu baada ya kusoma hotuba yake rasmi kwa
1 year ago
Job Vacancies at Tanzania Commercial Bank December 2021 Job Vacancies at Tanzania Commercial Bank December 2021, Nafasi za Kazi TCB, Employment Opportunities at TCB, Job Vacancies at TCB Job Vacancies at Tanzania Commercial Bank 2021, Tanzania Commercial Bank is a Bank that provides competitive financial services to our customers and creates value for our
The post Job Vacancies at Tanzania Commercial Bank December 2021 appeared first on Wasomi Ajira.
1 year ago
Logistics and Supply Chain – Talent Community About the Company With over 74,000 employees at 1,400 locations in over 100 countries, the Kuehne+Nagel Group is one of the world’s leading logistics companies. Its strong market position lies sea logistics, air logistics, road logistics and contract logistics with a clear focus on integrated logistics solutions. Interested
The post Logistics and Supply Chain – Talent Community appeared first on Wasomi Ajira.
1 year ago