Milard Ayo General
Lil uzi vert afichua siri nyuma ya diamond aliyoiweka kwenye paji la uso wake

Hatimaye Lil Uzi Vert amefichua sababu iliyopelekea kupandikiza almasi ya dola milioni 24 zaidi wa Trillion 56 za ki-Tanzania kwenye paji la uso wake na inasemekana huenda ilikuwa na uhusiano wowote na mmoja wa wahusika wa katuni wanaopendwa zaidi na rapa huyo. Katika mahojiano mapya na jarida la mitindo la 032c, lililotolewa Jumanne (Mei 30),

22 hours ago


Mwanaspoti Sports
Daktari Simba afunguka ishu ya Manula

DAKTARI Mkuu wa Simba, Edwin Kagabo ameshusha presha kwa mashabiki wa timu hiyo kuhusiana na hali ya kipa, Aishi Manula aliyeko nchini Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu ya nyama za paja.

22 hours ago


The Citizen General
Firms to share Sh10 billlion in advancing clean energy

CookFund backs government initiatives to expand access to clean energy.

22 hours ago


Mwanaspoti Sports
Yanga itaweka rekodi mpya Caf

HAKUNA maswali kuwa Yanga wana kazi moja tu ya kufanya ili kuweka historia nyingine ya soka hapa nchini. Tayari vitabu vinasema kuwa Yanga ndiyo timu pekee ya Tanzania kufika hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika pamoja na kupoteza mchezo wa kwanza kwenye Uwanja wa Mkapa. Yanga Jumapili iliyopita ililala kwa mabao 2-1 dhidi ya USM Algier ya Algeria kwenye mchezo ulioweka rekodi ya mashabiki hapa nchini, sasa wanakwenda kujiuliza kwenye mchezo wa pili Jumamosi ijayo katika Uwanja wa...

23 hours ago


Milard Ayo General
Kampuni ya Boeing ya nchini Marekani imekabidhi ndege ya mizigo aina ya Boeing 767-300F

Kampuni ya kutengeneza ndege ya Boeing ya nchini Marekani imekabidhi ndege ya mizigo aina ya Boeing 767-300F kwa Wakala wa Ndege za Serikali Tanzania (TGFA) tayari kwa safari ya ndege hiyo kutoka Marekani na kuja hapa nchini Tanzania. Makabidhiano hayo yamefanywa katika kiwanda Boeing kilichopo Jiji Seattle nchini Marekani kwa Wawakilishi wa Serikali ya Tanzania

23 hours ago


Taifa Leo General
Omtatah awasilisha kesi kupinga Mswada wa Fedha 2023

NA RICHARD MUNGUTI SENETA wa Busia Okiya Omtatah amewasilisha kesi katika Mahakama ya Milimani jijini Nairobi leo Ijumaa akiiomba itie breki Mswada wa Fedha, 2023. Seneta huyo aliyetofautiana hadharani na Rais William Ruto alipozuru Busia, amesema mswada huo unakiuka Katiba.

23 hours ago


Milard Ayo General
UM: takriban tani 151 za madawa ya kulevya zilinaswa Kusini-mashariki, Asia Mashariki mwaka 2022.

Soko la dawa za syntetiki  Kusini-mashariki na Mashariki mwa Asia linazidi kuwa tofauti, Umoja wa Mataifa umeonya, na makundi ya ulanguzi wa madawa ya kulevya yanatumia njia mpya za magendo kusafirisha kiasi kikubwa cha methamphetamine na dawa nyinginezo katika eneo lote. Takriban tani 151 za methamphetamine zilikamatwa Kusini-mashariki na Mashariki mwa Asia mwaka jana, pamoja

23 hours ago


Mwanaspoti Sports
Mshambuliaji wa kagera aibuka lulu Ulaya

MSHAMBULIAJI wa Kagera Sugar, Anuary Jabir aliyeko nchini Ubelgiji kwa ajili ya majaribio kwenye klabu ya KAA Gent huenda akapata dili la kucheza Ulaya msimu ujao kutokana na baadhi ya timu kuhitaji saini yake.

23 hours ago


Milard Ayo General
Marekani yaweka vikwazo vya kiuchumi na visa kutokana na ghasia Sudan

Marekani iliweka vikwazo Alhamisi kwa makampuni yanayohusishwa na makundi mawili yenye silaha nchini Sudan, na hivyo kuongeza shinikizo kwa wanajeshi na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kukomesha ghasia. Marekani siku ya Alhamisi ilitangaza vikwazo kwa viongozi wa Sudan na makampuni yao, ambayo ililaumu ya zamani kwa kuporomoka kwa juhudi za kusitisha mapigano zilizosimamiwa na

23 hours ago


Taifa Leo General
Upande wa mashtaka waomba Mackenzie aendelee kukaa kizuizini kwa siku 60 zaidi

NA WACHIRA MWANGI MHUBIRI wa kanisa la Good News International Paul Mackenzie amefikishwa katika Mahakama ya Shanzu jijini Mombasa leo Ijumaa, Juni 2, 2023. ambapo upande wa mashtaka unaomba aendelee kuzuiliwa kwa siku 60 zaidi. Upande huo wa mashtaka unataka mhubiri huyo, mkewe na watu wengine 16 waendelee kuzuiliwa huku uchunguzi ukiendelea. Inadaiwa Mackenzie na

23 hours ago


The Citizen General
CRDB Bank lends Sh67 billion to mining sector, pledges more to women

CRDB Bank agreed with the National Mining Corporation (Stamico) to help small-scale miners get loans that will strengthen their activities.

23 hours ago


 Job Vacancy Highlights Show All 
Milard Ayo General
Pep Guardiola awaonya Manchester City dhidi ya mchezo wao jumamosi hii

Pep Guardiola amewaonya nyota wake wa Manchester City kwamba Manchester United inaweza kuharibu ndoto zao tatu katika fainali ya Kombe la FA Jumamosi. City itawasili Wembley wikendi hii ikiwa na matumaini ya kukamilisha sehemu ya pili ya jitihada zake za ajabu za kushinda Ligi ya Premia, Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA katika msimu

23 hours ago


Milard Ayo General
FA CUP: Haaland hana hofu kwa Man Utd, – Varane

Beki wa Manchester United Raphael Varane alisema timu yake haimuogopi Erling Haaland kabla ya mechi yao ya fainali ya Kombe la FA dhidi ya Manchester City lakini alikiri kwamba wapinzani wao ni tishio kutoka kila eneo la uwanja. United wataingia fainali Jumamosi wakitafuta kuhitimisha ombi la mabingwa hao wa Premier League kunyakua taji la pili

23 hours ago


Taifa Leo General
AK yaitisha mkutano na makocha wakune vichwa jinsi ya kushinda mbio za masafa marefu

Na AYUMBA AYODI SHIRIKISHO la Riadha Kenya (AK) limeitisha mkutano na makocha 30 kujadili na kuangalia jinsi Kenya inavyoweza kupata matokeo mazuri katika mbio ndefu kwenye Riadha za Dunia jijini Budapest, Hungary mwezi Agosti 2023. Mkurugenzi wa mashindano wa AK, Paul Mutwii amefichua kuwa makocha hao hutia makali wanariadha wanaoshiriki mbio za mita 3,000 kuruka

23 hours ago


Milard Ayo General
Rapper Lil Durk agonga vichwa vya habari baada ya kumpa zawadi shabiki nyumba kwa siku 30

Lil Durk hivi karibuni alionesha kitendo kilichi shangaza wengi mtandaoni cha “Msaidie anayekusaidia” ambapo Rapa huyo wa “Almost Healed” alimpatia zawadi shabiki yake ambaye mtu asiye na makaazi rasmi  aitwaye Pedro na ni mara ya kwanza watumiaji wa mtandaoni kuona uso wa Pedro wakati wakiwa na  Durk na baada ya hapo Lil alimjulisha Pedro kuwa

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Nabi avunja ukimya wa Morrison

Kocha Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi amevunja ukimya juu ya matumizi ya winga Bernard Morrison akisema Mghana huyo hana pumzi ya kutosha kucheza muda mrefu uwanjani.

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Nabi ataja sababu ya Morrison kutoanza

Kocha Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi amevunja ukimya juu ya matumizi ya winga Bernard Morrison akisema Mghana huyo hana pumzi ya kutosha kucheza muda mrefu uwanjani.

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Nabi ataja sababu ya Morrison kuanzia benchi

Kocha Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi amevunja ukimya juu ya matumizi ya winga Bernard Morrison akisema Mghana huyo hana pumzi ya kutosha kucheza muda mrefu uwanjani.

1 day ago


Taifa Leo General
MKU yakariri kujitolea kuendelea kushiriki makongamano ya uimarishaji wa elimu

Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) kiliandaa kongamano lililoleta pamoja washiriki kutoka kwa vyuo vya mataifa saba. Jumla ya wageni wapatao 1,000 walikongamana katika ukumbi wa MKU mjini Thika kuanzia Mei 22 hadi Mei 26, 2023. Naibu Chansela wa MKU Prof Deograttius Jaganyi alisema kongamano la kwanza la Access Summer School lilifanyika mara ya kwanza

1 day ago


Milard Ayo General
Tasnia ya maziwa kunufaika na programu ya BBT mifugo

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema Wizara yake ipo mbioni kuanzisha programu ya “BBT” kwa upande wa tasnia ya maziwa ambapo tayari ameshaielekeza Bodi ya Maziwa nchini na kurugenzi ya uzalishaji na masoko kutoka Wizarani kwake kushirikiana na washirika wa maendeleo wa sekta ya Mifugo na Taasisi za fedha ili kuanza utekelezaji

1 day ago


Milard Ayo General
Tabora kuwa kinara programu ya bbt mifugo nchini – ulega

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema kufuatia Mkoa wa Tabora kuongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya mifugo hapa nchini wamepanga kuanzisha programu kabambe ya BBT Mifugo itakayowawezesha vijana kunenepesha mifugo na kuufanya mkoa huo kuwa kinara na lango kuu la kuuza nyama bora ndani na nje ya nchi. Waziri Ulega aliyasema

1 day ago


Milard Ayo General
Mashabiki wa soka nchini china kulipa zaidi ya Million 1 kumuona Messi

Mashabiki wa soka wa Uchina watahitaji kutoa hadi $680  zaidi ya  Tsh Million 1 ili kumuona Lionel Messi akiongoza Argentina dhidi ya Australia katika mechi ya kirafiki ya Beijing, waandaaji walisema Ijumaa. Mchezo huo utakaochezwa Juni 15 kwenye Uwanja wa Wafanyakazi wenye uwezo wa kuchukua watu 68,000 ni wa marudiano wa Argentina na Australia kukutana

1 day ago


Milard Ayo General
Ghasia nchini Senegal zaua 9 baada ya Ousmane Sonko kupatikana na hatia

Ghasia zimezuka siku ya Alhamisi katika maeneo tofauti ya mji mkuu wa Senegal, Dakar, baada ya kiongozi wa upinzani nchini Senegal Ousmane Sonko, anayetuhumiwa kwa ubakaji, kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kwa “ufisadi wa vijana”, hukumu ambayo inahatarisha zaidi kuwnia kwake katika uchaguzi wa urais wa mwaka 2024. Takriban watu tisa waliuawa nchini Senegal

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Simba yaporwa kipa wa Marumo Gallants

NI rahisi kusema Simba wamezidiwa tena ujanja baada ya kipa wanaodaiwa kumtaka Washington Arubi kutoka Marumo Gallants kusaini timu nyingine.

1 day ago


The Citizen General
Tanzania's air cargo business remains largely untapped

Tanzania’s air cargo market is huge, but remains untapped, the government said yesterday ahead of the arrival of the Air Tanzania Company Limited (ATCL)’s Boeing 767-300 Freighter.

1 day ago


Taifa Leo General
Rais Biden aanguka baada ya kuongoza hafla ya kufuzu kwa wanajeshi

Na MASHIRIKA RAIS wa Amerika Joe Biden mnamo Alhamisi alijikwaa na kuanguka baada ya kuongoza hafla ya kufuzu kwa wanajeshi katika Chuo cha Mafunzo ya Kikosi cha Wanajeshi wa Angani mjini Colorado, Amerika. Wanajeshi na walinzi wake walichukua hatua za haraka kumsaidia na kumnyanyua Rais huyo mwenye umri wa miaka 80. Hata hivyo, aliwahakikishia walinzi

1 day ago


Nine killed in Senegal clashes after opposition leader sentenced

Two policemen said at least three deaths occurred at riots in Ziguinchor, and a policeman was stoned to death by young protesters in Dakar.

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Nabi asuka hesabu kali, awajaza upepo mastaa

MASHABIKI wa Yanga wamegawanyika, wapo ambao wamekata tamaa wakiona ni kama timu yao imeshakosa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika na wako wengine wanaona timu yao itarudisha furaha yao kwenye mchezo wa ugenini na hawa ndio wako pamoja na kocha wao, Nasreddine Nabi.

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Nabi asuka hesabu kali kwa Waarabu

MASHABIKI wa Yanga wamegawanyika, wapo ambao wamekata tamaa wakiona ni kama timu yao imeshakosa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika na wako wengine wanaona timu yao itarudisha furaha yao kwenye mchezo wa ugenini na hawa ndio wako pamoja na kocha wao, Nasreddine Nabi.

1 day ago


Taifa Leo General
Jenerali Ogolla achapa kibarua cha kwanza katika Sherehe ya Kitaifa tangu aapishwe kuwa CDF

NA CHARLES WASONGA MKUU wa Majeshi ya Ulinzi ya Kenya (CDF) aliyeteuliwa juzi Francis Ogolla mnamo Alhamisi Juni 1, 2023 alitekeleza wajibu wake wa kwanza wakati wa sherehe ya kitaifa. Jenerali Ogolla ambaye mnamo Mei 14, 2023 alipandishwa ngazi na kuwa mkuu wa majeshi aliongoza wanajeshi walioandaa gwaride katika uwanja wa michezo wa Moi, mjini

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Robertinho aweka wazi mikakati mipya, awagusia watani

KOCHA Mkuu wa Simba,Robert Oliveira 'Robertinho'amewahakikishia mashabiki kwamba kuna mapinduzi makubwa yanakuja kwenye usajili wa klabu hiyo.

1 day ago


Taifa Leo General
Chuo Kikuu cha Mtandaoni kuzinduliwa rasmi mwezi huu, aahidi Rais Ruto

NA CHARLES WASONGA KUFIKIA mwishoni mwa mwezi huu wa Juni, Wakenya wataanza kusomea shahada za digrii kupitia mtandaoni kufuatia kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Huduma za Mtandaoni cha Kenya (Open University of Kenya). Akiongea mnamo Alhamisi wakati wa maadhimisho ya 60 ya Madaraka Dei, kiongozi wa nchi alisema wakati huu kozi zinapakiwa mtandaoni na masomo

1 day ago


Taifa Leo General
Makundi sasa kupata mkopo wa Hasla

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto mnamo Alhamisi alizindua huduma nyingine ya mpango wa utoaji mikopo kutoka kwa Hazina ya Hasla unaolenga makundi yaliyosajiliwa. Dkt Ruto alifanya uzinduzi huo katika uwanja wa Moi mjini Embu ambako aliongoza sherehe za 60 za Sikukuu ya Madaraka Dei. “Ni furaha yangu kutangaza wakati wa sherehe za leo (jana

1 day ago


Milard Ayo General
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 2, 2023

Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania June 2, 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya.

1 day ago


Milard Ayo General
Maagizo ya DC Mbeya kwa Wafanyabiashara Soko Matola

Wafanyabishara wa Soko Matola Jijini Mbeya wamelalakia Kutokuwepo kwa uongozi rasmi katika Soko hilo Wakizungumza mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Mbeya alipotembelea Soko hilo kwa lengo la Kusikiliza na kutatua kero za Wafanyabishara hao wamesema kwa muda mrefu soko hilo limekosa Viongozi sahihi watakao waongoza na badala yake Viongozi waliokuwepo hawapo kisheria kwa maana

1 day ago


Mtanzania General
Wanawake watakiwa kumuunga mkono Rais Samia

Mwandishi Wetu, Iringa Wito umetolewa kwa Wanawake wote nchini, kushikamana kwa kuhakikisha wanamuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Dk. Samia Suluhu Hassan katika jitihada zake mbalimbali za kuwainua wanawake kiuchumi. Wito huo umetolewa na Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Rita Kabati wakati wa kongamano la wanawake wa Mkoa wa Iringa aliloliandaa hivi karibuni

1 day ago


Milard Ayo General
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 2, 2023

Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam June 2, 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania,    

1 day ago


Milard Ayo General
Museveni amjibu Rais wa Marekani?, asema ‘Sheria ya kupinga Ushoga hatuifuti’

Rais wa Marekani, Joe Biden ameilaani sheria mpya iliyotiwa saini na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni dhidi ya vitendo vya ushoga na kusema kuwa Marekani inaweza kuiwekea Uganda vikwazo huku akitoa wito wa sheria hiyo kufutwa mara moja. Sasa leo June 1, 2023 Rais Museveni ameibuka na kuelezea msimamo wake.

1 day ago


Milard Ayo General
Picha: Shuhudia maajabu ya Haier, ‘Mabingwa vifaa vya kielectronic’, hawana mpinzani

Ukienda Marekani utaambiwa HAIER iliingia rasmi tangu mwaka 1999, Indonesia utaambiwa HAIER waliingia rasmi tangu mwaka 1996, pale Philippines ni tangu mwaka 1997, India ni tangu 2004…. hapo sijazitaja Nchi za Ulaya kama Ujerumani ambako Brand ya HAIER tayari ipo….. Tanzania tumechelewa kuletewa rasmi brand hii lakini hakijaharibika kitu, mwendo ndio kwanza tumeuanza na tena

1 day ago


Milard Ayo General
Katibu wa CCM ahitimisha ziara yake ya siku saba Mkoani Iringa

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mqpinduzi Ndugu Daniel Chongolo leo amehitimisha ziara yake ya siku 7 mkoani Iringa kwa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika kiwanja cha Mwembetogwa. Katika ziara hiyo yenye lengo la kuhimiza uhai wa Chama pamoja na Kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025, Katibu Mkuu ameambatana na Wajumbe Wawili

1 day ago


Mbosso 3 weeks ago  
Nandy - The African Princess 2 weeks ago  
MariooOfficial 2 weeks ago  
MariooOfficial 3 weeks ago  
Zuchu 1 month ago  
Alikiba 2 weeks ago  
Anjella 1 day ago  
Yammi 1 week ago  
Walter Chilambo 1 day ago  
Rayvanny 3 weeks ago  
Chudy love 4 weeks ago  
Martha Mwaipaja 2 weeks ago  
kontawa 1 month ago  
Harmonize 1 week ago  
Milard Ayo General
‘Suala la Kukatika kwa Umeme kumepungua’- Waziri January Makamba

Ni June 1, 2023 ambapo Waziri wa Nishati, January Makamba amehitimisha Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Nishati Bungeni Dodoma. Miongoni aliyoyazungumza ni kuhusiana na sakata la kukatika kwa Umeme nchini. “Suala la kukatika kwa umeme; suala hili ni changamoto ya muda mrefu kwenye bajeti yetu. Tunafarijika kwamba sasa hivi ni kwa maeneo mahsusi. Kwenye

1 day ago


Milard Ayo General
Waziri Makamba: Maneno yanatusaidia yaendelee

Ni June 1, 2023 ambapo Waziri wa Nishati, January Makamba amehitimisha Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Nishati. Miongoni aliyoyazungumza ni kuhusu yale yaliyokuwa yakiendelea mitandaoni. “Haya maneno yanatuongezea hamu na hamasa ya kupata matokeo. Sisi hamasa yetu ni imani ya Mheshimiwa Rais kwetu, hamasa yetu ni matokeo ya kazi yetu kwa uhai wa chama

1 day ago


Milard Ayo General
Rafiki wa alIyejirusha Ghorofani, apatikana ampigia simu mkewe, afika nyumbani

Kijana Tyson Nduguru, Rafiki wa karibu wa Joel Misesemo (MC Joel) aliyejirusha ghorofa ya 7 Makumbusho Dar es salaam na kufariki dunia, ambaye aliripotiwa kutoweka ghafla siku tatu tangu kutokea kwa kifo cha Joel, amepatikana leo June 1 2023. Mke wa Tyson, Grace Rashid ameithibitishia Ayo TV kwa kusema yafuatayo ——> “Ni kweli Tyson amepatikana

1 day ago


Milard Ayo General
Tanesco wamepandishwa Mishahara baada ya miaka 17

Ni June 1, 2023 ambapo Waziri wa Nishati, January Makamba amehitimisha Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Nishati Bungeni Dodoma. “Na wao wanajua wafanyakazi wa TANESCO, kwa mara ya kwanza katika miaka 17 tumewapandishia mishahara majuzi. Miaka 17 hatujapandisha mishahara. Sasa hivi tunapimana kwa matokeo”—Waziri wa Nishati, January Makamba. “Hatutapunguza mtu kazi TANESCO, ila tutawahitaji

1 day ago


Milard Ayo General
‘Bwawa la Nyerere unalelewa na nchi zetu mbili ‘Misri na Tanzania,’ hauwezi kufeli’- Waziri Makamba

Ni June 1, 2023 ambapo Waziri wa Nishati, January Makamba amehitimisha Mjadala wa Bajeti ya Wizaea ya Nishati. “Mradi huu (Bwawa la Nyerere) unalelewa na nchi zetu mbili (Tanzania na Misri), hauwezi kufeli. Na katika kushughulikia mradi huu lazima tuzingatie hilo. Ndio maana hakuna mambo ya mahakamani, haitatokea. Naomba waheshimiwa mtuamini, tumeweka sayansi ya usimamizi

1 day ago


Milard Ayo General
‘Bwawa la Nyerere lisingeweza kukamilika kwa miaka mitatu’- Waziri Makamba

Ni June 1, 2023 ambapo Waziri wa Nishati, January Makamba amehitimisha Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Nishati. “Rais wa awamu ya sita alivyoingia madarakani akatupa hii kazi, umeme ukawa unakatika katika tukaanza kunyooshewa vidole “Ni yule bwana KIPARA pale ndio anakata umeme, na ni Bwana Maharage (Chande) ndio anakata umeme”. Sisi tulichofanya tukajifungia na

1 day ago


Taifa Leo General
Matano asema Tusker hawana mpango wa kumsajili Lewis Bandi wa AFC Leopards

NA JOHN ASHIHUNDU KOCHA Robert Matano wa Tusker FC amesema klabu yake haina mpango wowote wa kumsajili Lewis Bandi anayeripotiwa kutoweka kwenye kambi ya AFC Leopards. Matano alisema hayo kufuatia madai ya baadhi ya wafuasi wa Leopards kwamba staa huyo mwenye umri wa miaka 20 anafanya mazungmzo na mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu ya

1 day ago


Milard Ayo General
Temeke Hospitali wapewa vitanda vya Milioni 21, waahidiwa Alphardna Bandari DSM

Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imetoa msaada wa vitanda 15 vya kujifungulia katika wodi ya wajawazito Hospitali ya rufaa ya Temeke ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za kuweka mazingira bora na salama kwa mama anapojifungua. Vitanda hivyo venye thamani ya Sh21 milioni ni sehemu ya ahadi ya TPA kuisaidia hospitali hiyo inayohudumia wastani

1 day ago


Mwanaspoti Sports
Adidas wanampa Geay Sh100 milioni kwa mwaka

JANA tuliishia sehemu ambayo Geay alichukua sehemu kubwa ya kuzungumzia kuhusu kiwango cha fedha ambacho alikipata baada ya kushika nafasi ya pili kwenye mbio za Boston. Alieleza mambo mengi, lakini moja ni kitendo cha kushika shilingi milioni 200 zikiwa ni fedha nyingi ambazo hajawahi kuzishika kwenye maisha yake kwa wakati mmoja. Lakini alijaribu kuzungumzia kidogo kuhusu bei ya kiatu ambacho alikitumia kwenye mbio hizo, akisema kilikuwa cha shilingi 400,000 lakini alinunua ghali kutokana na aina ya kiatu chenyewe na mastaa...

1 day ago