If a child does not develop a strong sense of trust with their parents and close family members, they will rarely open up about the things that trouble them most.
VIONGOZI wa upinzani Jumanne, Aprili 1, 2025 walikataa mchakato unaoendelea wa kuunda upya tume ya uchaguzi, wakishutumu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga kwa kuuvuruga.
Viongozi hao,...
SENETA wa Kaunti ya Murang’a, Joe Nyutu, amemshutumu Rais William Ruto kwa kuwalenga viongozi wanaochipuka Mlima Kenya na kupania kuzima ndoto zao kisiasa.
Huku akimlinganisha Rais Ruto na Mfalme Herode...
RAIS William Ruto na aliyekuwa naibu wake Rigathi Gachagua sasa wameamua kuharibiana sifa hadharani huku uhasama wao ukiendelea kutokota.
Kwenye mahojiano na wanahabari wa vituo vya habari kutoka Mlima Kenya...
KUNA uwezekano mkubwa wa straika wa zamani wa Simba na Yanga, Jean Baleke akajiunga na AmaZulu FC ya Afrika Kusini, baada ya kuwepo kwa mazungumzo baina yake na uongozi wa...
French corporations have survived flag changes, military coups, economic crises and terrorist attacks in Africa, yet they have…
The post French Corporations in Africa: Green promises, black footprints appeared first...
IRINGA: THE Tanzania Cricket Association has completed preparing the cricket ground as the sport officially enters the Inter-Primary…
The post Cricket grows wings for Inter-School Games appeared first on Daily...
HALI ya huzuni imetanda huko Limuru, Kaunti ya Kiambu, baada ya watu saba wa familia moja kufariki katika ajali ya barabarani karibu na mji wa Naivasha walipokuwa wakielekea kwenye mazishi...
RUSSIA: PRESIDENT Vladimir Putin has called up 160,000 men aged 18-30, Russia’s highest number of conscripts since 2011,…
The post Putin begins biggest Russian military call-up in years appeared first...
MASENETA wameikosoa Kamati ya Kiufundi ya Mahusiano ya Kiserikali (IGRTC) wakisema “haina makali” huku kaunti zikiendelea kusubiri mali zinazopaswa kupata kutoka serikali kuu miaka 12 tangu kuanzishwa kwa mfumo wa...