Habari Leo General

Mpango aagiza mambo matano mageuzi benki

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango amesema sekta ya benki nchini inakabiliwa na mageuzi ya haraka ya teknolojia, ushindani wa kimataifa na mahitaji mapya ya wateja. Ametaka benki zizingatie mambo...

5 minutes ago


Habari Leo News

Ulega aagiza uchunguzi watendaji BRT4

WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza kupelekewa taarifa kamili za wasimamizi na mshauri mwelekezi wa ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) Awamu ya Nne baada ya kushuhudia uzembe...

8 minutes ago


Daily News General

VP urges banks to adopt AI

ARUSHA: VICE-PRESIDENT Dr Philip Mpango has called on Tanzania’s financial sector to embrace artificial intelligence (AI) responsibly, urging stakeholders to strike a balance between innovation and cybersecurity to protect the...

22 minutes ago


Habari Leo Business

Tanzania yatajwa kinara kiuchumi

RAIS wa Finland, Alexender Stubb ameipongeza Tanzania kwa juhudi kubwa inazochukua kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji na kusema hatua hizo zinaifanya iwe nchi yenye mazingira bora ya kiuchumi kwa...

27 minutes ago


Taifa Leo News

Wandayi, Oburu waungana dhidi ya Orengo vita vya ubabe vikichacha

Huku kaunti nyingine katika ngome ya aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga ya Nyanza zikifurahia utulivu wa kisiasa uliojiri na ushirikiano mpya kati ya ODM na serikali ya Kenya Kwanza, Siaya...

4 hours ago


Taifa Leo News

Maeneo ya mpakani hatari kwa usalama

Kenya inakabiliwa na ongezeko la mashambulizi kutoka kwa vikundi vya wanamgambo na wahalifu wanaotoka mataifa jirani. Kutoka Todonyang kwenye Ziwa Turkana, Moyale, Mandera kwenye mpaka wa Ethiopia na Somalia hadi...

5 hours ago


Taifa Leo News

Gachagua alenga kuponyoka na mahasla wa Ruto

RAIS William Ruto na aliyekuwa naibu wake Rigathi Gachagua sasa wamejikuta wakiwa pande tofauti za uwanja wa kisiasa unaobadilika kwa kasi. Katika mabadiliko ya kushangaza baada ya kutofautiana kwao, Bw...

6 hours ago


Taifa Leo Sports

Ahoya apigwa breki nusu-fainali ya J30 Nairobi

MCHEZAJI pekee wa Kenya aliyesalia katika kitengo cha wasichana cha mchezaji mmoja kila upande, Seline Ahoya, amebanduliwa katika nusu-fainali ya tenisi ya J30 Nairobi/Extreme Parklands Junior Circuit I baada ya...

11 hours ago


Habari Leo News

Ubalozi wa Marekani wakanusha nyaraka ya USAID kuhusu uchaguzi Tanzania

DAR ES SALAAM – Waraka uliovuja unaodai kuwa ni mkakati wa siri wa Shirika la Marekani la Misaada ya Kimataifa (USAID) kusaidia viongozi wa upinzani kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Tanzania...

14 hours ago


Daily News General

U.S. Embassy denies leaked USAID document on Tanzania’s 2025 elections

DAR ES SALAAM – A leaked document claiming to outline a covert USAID strategy to support Tanzanian opposition leaders ahead of the 2025 general elections has triggered a storm of...

14 hours ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment