Mtanzania News

Mradi wa Umeme wa JNHPP mbioni kuzalisha Megawati 900

Esther Mnyika, Mtanzania Digital Serikali imeeleza kuwa Mradi wa Bwawa la Kuzalisha Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) sasa una uwezo wa kuzalisha megawati 700 za umeme, na kwamba ndani ya...

3 hours ago


Milard Ayo Entertainment

Diddy Combs afungua faili za dhamana tena, hiki ndicho alichosema hakimu

Mkali wa muziki wa hip-hop Sean ‘Diddy’ Combs anatazamiwa kusalia gerezani huku mahakama ya rufaa ikijadili iwapo anafaa kupewa dhamana. Rapa huyo amekuwa akizuiliwa katika gereza la Metropolitan Detention Center...

3 hours ago


Mtanzania News

Mchengerwa awataka wakuu wa mikoa kusimamia sheria na kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, amewaagiza wakuu wa mikoa kote nchini kushirikiana na vyombo...

3 hours ago


Taifa Leo News

Netanyahu: Tutalipiza kisasi Iran, lakini baadaye kidogo

JERUSALEM, ISRAEL ISRAEL imesema kuwa itatilia manani maoni ya Amerika lakini mwishowe italipiza kisasi dhidi ya Iran iliyowavamia mapema mwezi huu. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema hawajasahau kitendo...

4 hours ago


Habari Leo General

Hatuondoi walinda amani – UN

NEW YORK : UMOJA wa Mataifa umegoma kuondoa walinda amani wake kusini mwa Lebanon na wataendelea kuwepo kusaidia raia wa Lebanon licha ya matakwa ya Israel  yakutaka  walinda amani hao...

5 hours ago


Milard Ayo Sports

Libya dhidi ya Nigeria iliahirishwa rasmi baada ya sakata la uwanja wa ndege

Mechi ya Nigeria ya kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Libya ilizama shakani baada ya kikosi cha Super Eagles kukwama usiku kucha katika uwanja wa ndege wa Al...

5 hours ago


Milard Ayo Sports

Kylian Mbappe amekanusha madai ya ubakaji dhidi yake

Kylian Mbappe amekanusha madai dhidi yake kuwa ni “habari za uongo” baada ya polisi wa Uswidi kuanza uchunguzi kuhusu madai ya ubakaji kumuhusu. Gazeti la Uswidi Expressen liliripoti kwamba mshambuliaji...

5 hours ago


Milard Ayo General

Mbappe ahusishwa na tuhuma za ubakaji,uchunguzi waanza

Ofisi ya mwendesha mashtaka wa Sweden amebainisha siku ya Jumanne Oktoba 15, 2024 kwamba inafanya uchunguzi kuhusu ubakaji baada ya ziara ya Kylian Mbappé na wasaidizi wake wiki iliyopita huko...

5 hours ago


Milard Ayo General

Baba wa miaka 50 adaiwa kumuingilia binti yake wa miaka 6

Baba anaekadiriwa kua na miaka zaid ya 50 amedaiwa kumuingia mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka 6 anaesoma darasa la Kwanza Mwera Visiwani Zanzibar huku mama mzazi akiwa...

6 hours ago


Mtanzania News

Waziri Silaa: Tunaendelea kuwekeza kwenye TEHAMA

Na Grace Semfuko, Maelezo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa, amesema Serikali imeendelea kuwekeza kwenye Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) na kufanya maboresho ya kisera,...

6 hours ago


Load More...

Job Vacancies





Entertainment